Tanzania yagoma kupiga kura ya kuunga mkono Mipaka ya nchi ya Ukraine(Territorial Integrity) huko UN

uhuru una mipaka mkuu, kama wadhani uhuru hauna mipaka bado una safari ndefu

kawashawishi wajiunge kenya ndo utajua uhuru unao zungumza ni wa kwenye makaratasi tu
 
Kwa wanaojua ukweli kwanini russia anaendesha opereshen zake ukrane hawawezi kujihusisha na mambo hata ya kupiga kura.
Tanzania ina wazee wenye hekima, busara na ubobezi katika kuitambua haki na usawa. Hata kama wananchi wake wengi wamo kwenye mkumbo kwa sabab ni ill_informed na unknowledgeable!
......tushirikiane kupinga unilateralism.
 

Tanzania chini ya serikali ya CCM haiwezi kwenda kinyume na utashi wa Russia. Ifahamike Russia na China ndio nchi zisizohoji chaguzi za kihuni, na CCM wanajua hilo ndio kimbilio lao iwapo itachezea uchaguzi na nchi za magharibi kutaka kuchukua hatua.
 
ndio sisi ni warusi wa manzese nyie endeeleeni na kibabu chenu. hii vita mtapigwa kama ngoma. ngumi ya putin inajikunja inaitwa ndoige! uraaa uraaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…