uhuru una mipaka mkuu, kama wadhani uhuru hauna mipaka bado una safari ndefuKwani Zanzibar itakapoamua kujitenga na bara nakutaka kujiunga na Kenya wataonekana wamewakosea bara? Kwa vipi kwani Zanzibar si nchi huru?.Urusi waharibu miundombinu ya ukrein na kuua raia halafu Manashabikia ?
Na kwa kua huyo nyoka anaelelea kushindwa macho yake yanatazama silaha za nuklia,Ulimwengu unaelekea wapi?
Bora hata Resolution ingehusu Urusi kuvamia Ukraine hapo tungeweza kujibaraguza na kuabstain LAKINI kura inahusu kutambua na kuheshimu mipaka ya Ukraine ambaye ni mwanachama mwenzetu wa UN , ambaye kasaini articles za kila nchi kuheshimu mipaka ya nchi nyingine kama sisi tulivyosaini, tunashindwaje kulinda hii principle kwa Wivu mkubwa?
ndio sisi ni warusi wa manzese nyie endeeleeni na kibabu chenu. hii vita mtapigwa kama ngoma. ngumi ya putin inajikunja inaitwa ndoige! uraaa uraaaMrusi wa Manzese anajua kila kitu kuhusu uhalali wa Urusi kushambulia raia wa Ukraine na kujimegea ardhi ya Ukraine. Utasikia anakupigia kelele NAM (ya Cold war Era), NATO (fear from the cold war era), na Minski Agreement (iliyopangwa na Urusi) lakini hatambui Budapest Memorandum (iliyohusisha Urusi, Ukraine, USA na UK kuhusu usalama wa Ukraine) na Article 2(4) ya UN kuhusu kuhesimu mipaka ya nchi nyingine.
Yaani Mrusi wa manzese anajua sana uhalali wa vita hiyo kuliko hata warusi wa ndani ya Urusi wakiwemo hata wale waliokuwa mawaziri na mabalozi kwenye serikali hiyo hiyo ya urusi. Manzese kuna warusi wanaoijua urusi vizuri sana