Tanzania yaifunga Namibia 1-0 CHAN

Tanzania yaifunga Namibia 1-0 CHAN

Hatari sana mkuu, sijui Kama tutatoboa kwa Guinea Ila naamini mpaka siku hiyo kina Bocco na Nyoni watakuwa fiti kucheza hivyo italeta uhai sana hasa pale mbele.
Mechi ijayo nadhani watakuwepo,wataongeza kitu cha ziada
 
Tushukuru tuu kuwa kocha wa namibia alikuwa amebet hii mechi lakini lah sivyo yule bushman alikuwa anatuua

Yule mchezaji nashukuru wengi tumlipachika jina la BUSHMAN ndio alikuwa bora Uwanjani. Pili alianza kushangiliwa hadi na Wabongo kwenye Vibanda Umiza. Cha kujiuliza timu zetu zinashindwa nini kusajili wachezaji wa aina ile ya Bushman wa Namibia??
 
Ifike wakati tukubaliane team ya taifa iundwe na wachezaji wa Simba, Yanga na Azam, hao wa kuokoteza Dodoma, Ndanda na Prison watatuchelewesha.
Stars imecheza vizuri sana first half lakini tatizo ni umaliziaji. Tumekosa mtu sahihi wa kumaliza shughuli pale mbele na kama mwalim hatafanya jambo sioni tukitoboa kwenye mechi hii.
Bila shaka unapingana na fikra za Mwenyekiti wetu anayeamini kwamba mpira wetu haupigi hatua sababu ikiwa ni Simba na Yanga!

Na siyo kutokana na kutokua na sera nzuri ya michezo, uwekezaji mzuri katika hiyo michezo, michezo kutawaliwa/kuongozwa na wanasiasa badala ya wadau wenyewe, nk.
 
Yule mchezaji nashukuru wengi tumlipachika jina la BUSHMAN ndio alikuwa bora Uwanjani. Pili alianza kushangiliwa hadi na Wabongo kwenye Vibanda Umiza. Cha kujiuliza timu zetu zinashindwa nini kusajili wachezaji wa aina ile ya Bushman wa Namibia??
Ile sura ya kibushman kabisa yaani.
Toka kipindi cha pili kinaanza jamaa ndio alikuwa anatusumbua. Alivyotoka tuu ndio tukapata goli.

I felt sorry for the boy...kwa kweli alikuwa na haki ya kulia becoz it wasnt fair at all kumtoa.

Kocha wa namibia kwa kweli haniambii kitu hii mechi amebet .
 
kuna wachezaji wa taifa stars hata hawaelewi wanafanya nini uwanjani wanaruka ruka tu
 
Bila shaka unapingana na fikra za Mwenyekiti wetu anayeamini kwamba mpira wetu haupigi hatua sababu ikiwa ni Simba na Yanga!

Na siyo kutokana na kutokua na sera nzuri ya michezo, uwekezaji mzuri katika hiyo michezo, michezo kutawaliwa/kuongozwa na wanasiasa badala ya wadau wenyewe, nk.
Kiongozi unalishwa Matangopori na kina Kabudi na wewe unakuja kutamka hadharani!? Haya hii timu yenu toa;
1.Manula
2.Kapombe
3.Boko
4.Fei
5.Mwamnyeto
6.Farid
7.Kaseke

Halafu kalete wachezaji bora wasiotokana na Simba na Yanga toka MBEYA City, Mwadui FC, Jang'ombe, Majimaji, Lipuli na Stand United.
 
Back
Top Bottom