Tanzania yaingiza baridi, haitotuma JWTZ kuisaidia Msumbiji licha ya mashambulizi kuwaathiri pia

Tanzania yaingiza baridi, haitotuma JWTZ kuisaidia Msumbiji licha ya mashambulizi kuwaathiri pia

Mimi nasema, hakuna watu waoga kufa kama wakikuyu, hakuna watu wanaoogopa bunduki/risasi kama wakikiyu... Hakuna watu wanaoogopa maji/kuogelea kama wakikuyu.. Ila ndio waliojazana navy na kdf.. Ndio maana jeshi ni hovyo tu na lege lege.
Jamaa si umekakaririshwa jamani[emoji1787][emoji1787]
Kenya katika convoy ya jeshi unaweza kutana na wakikuyu wachache sna kati ya wajeda 100
 
Je, unafahamu idadi ya meli zilizokuwa zinatekwa na ma-Al'Shabaab kwa mwezi?
Na watalii waliokuwa wakitekwa na kukimbilia Somalia, kisha kuitisha ransom ya mamilioni. Hi iliathiri pakubwa sekta ya utalii. Sasa hivi je, unawasikia?

Ndio, kuna changamoto wanajeshi wetu kuuawa, lakini in hatua kubwa tumepiga.
Kukomesha uharamia Somali mlishindwa usijipe sifa ambayo hamna. Na ni baada ya ninyi kushidwa njia nyingine zikaja za kupambana nao ikiwa pamoja na mataifa mbali mbali kwenda kupambana nao mf, Tanzania na Marekani wote walipeleka vikosi baharini kupambana na maharamia, meli pia ziliajiri walinzi binafsi wa kupambana na maharamia.

Kuhusu watalii kutekwa hilo lilikuwa linafanyika ndani ya Kenya hivyo ulikuwa uzembe wenu hadi wao kutekwa na walianza kutekwa baada ya kwenda Somalia. Nahitaji uniambie mlichofanikiwa Somalia hadi sasa?
 
Hizi hadithi za sijui mlipigana mara mliikomboa Afrika kwa ulimwengu wa leo ni makelele yasiyokua na tija.
Hao magaidi wamekata vichwa vya raia wenu leo hii mnasema waitwe kikao cha kuwabembeleza.
Ina maana JWTZ wamebaki jeshi la maonyesho siku za sherehe tu, wale hupasua matofali.
Wapasua matofali kwa bichwa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji38][emoji38][emoji37]
 
Acha ujinga, hao magaidi si walikuwa MKIRU, waliua wengi ila Tz ilipigana vita yake sawa sawa hadi magaidi wote wakakimbia, vyombo vya usalama Tz vipo sahihi. Cha muhimu hapa ni kuboresha ulinzi kwenye mpaka wetu na Mozambique ili wasirudi tena Tz.
TPDF ni jeshi la uoga na halipendi watanzania.
Ni waoga hadi hawaezi kwenda kupigana guerilla warfare kama KDF wanaamua kuzubaisha wadanganyika Dar.

TPDF is weak and full of FOOLS. Inafaa ibanduliwe na watu wapya waekwe.
Screenshot_20210528-162802.jpg
 
Unadhani TPDF ni waoga na dhaifu kama kdf? Jeshi lenu mmejaza wakikuyu tu na vile tunajua wakikiyu walivyo coward.. No wonder jeshi yenu imehamia kwenye kuchuna ngozi za ng'ombe Sasa kenya meat.

Msumbiji ni wapuuzi kama Kenya tu, Cabo ni very rich in terms of resources lakini welfare of people is poor. Mali zote zinapelekwa kusini Maputo. Kama Kenya inavyoendeleza nairobi na kuziacha mandera.. Lockchar et al

Hivyo halo msumbiji the problem is within... Ilihitajika cheche tu moto uwake.
TPDF ni jeshi la uoga na halipendi watanzania.
Ni waoga hadi hawaezi kwenda kupigana guerilla warfare kama KDF wanaamua kuzubaisha wadanganyika Dar.

TPDF is weak and full of FOOLS. Inafaa ibanduliwe na watu wapya waekwe.
Screenshot_20210528-162802.jpg
 
You're pathetic guy
TPDF ni jeshi la uoga na halipendi watanzania.
Ni waoga hadi hawaezi kwenda kupigana guerilla warfare kama KDF wanaamua kuzubaisha wadanganyika Dar.

TPDF is weak and full of FOOLS. Inafaa ibanduliwe na watu wapya waekwe.
Screenshot_20210528-162802.jpg
 
TPDF ni jeshi la uoga na halipendi watanzania.
Ni waoga hadi hawaezi kwenda kupigana guerilla warfare kama KDF wanaamua kuzubaisha wadanganyika Dar.

TPDF is weak and full of FOOLS. Inafaa ibanduliwe na watu wapya waekwe. View attachment 1800381
Unazungumzia TPDF halafu unaweka habari ya polisi !!!!. Unapozunguzumza Tpdf ni dhaifu unaifananisha na jeshi la nchi gani?
Tpdf imesaidia kukomboa nchi mbali mbali Afrika miaka ya 60 na 70, imeshinda vita na Uganda, imeenda Congo kuwaondoa M23( vita vya msituni), imeenda Comoro kipindi cha Kikwete na kurudisha utawala wa demokrasia na Nchi haijawahi Kupinduliwa.

Jeshi la Kenya limewahi kushinda wapi?
 
Wapasua matofali kwa bichwa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji38][emoji38][emoji37]

Noma sana hawa..... Siku za maonyesho hutumbuiza sana.
Tatizo wale makachinja wa kijihadi huwa habari nyngine, huwatishii haya mavitu ya kupasua matofali.

maxresdefault.jpg
 
Safi sana. Ila wakivuka boda watakiona cha moto halafu hakuna "motisha" kama Rwanda kwa ma comandoo wetu kule.
 
Kukomesha uharamia Somali mlishindwa usijipe sifa ambayo hamna. Na ni baada ya ninyi kushidwa njia nyingine zikaja za kupambana nao ikiwa pamoja na mataifa mbali mbali kwenda kupambana nao mf, Tanzania na Marekani wote walipeleka vikosi baharini kupambana na maharamia, meli pia ziliajiri walinzi binafsi wa kupambana na maharamia.

Kuhusu watalii kutekwa hilo lilikuwa linafanyika ndani ya Kenya hivyo ulikuwa uzembe wenu hadi wao kutekwa na walianza kutekwa baada ya kwenda Somalia. Nahitaji uniambie mlichofanikiwa Somalia hadi sasa?
Kdf imekuwa na mafanikio mengi Somalia..hakuna jeshi lingine linalo shikilia eneo kubwa la kama kdf.
Kdf imeweza kuyadhibiti maeneo ya Beles Qoqani,Kolbio, Fafadun,Eladde, Hosingo, Badhadhe na kismayu .Maeneo hayo yalikuwa ni ngome za alshabaab
Mwishowe tulitengeneza eneo la jubaland na ku install Rais ,Ahmed sheikh Madobe ambaye amekuwa rais wa eneo hilo muda wa miaka 9 sasa.
kdf entry into somalia was a game changer ,their one year operation surpassed all operations ever done in somalia since 1991 UPDF went to Mogadishu - and were moving ONE INCH every day - in 5yrs - they had managed to take I think 100 meters around their camp . Infact kismayu is the safest city in somalia as we speak.KDF entry into congo will also be a game changer watch this space.
 
Unazungumzia TPDF halafu unaweka habari ya polisi !!!!. Unapozunguzumza Tpdf ni dhaifu unaifananisha na jeshi la nchi gani?
Tpdf imesaidia kukomboa nchi mbali mbali Afrika miaka ya 60 na 70, imeshinda vita na Uganda, imeenda Congo kuwaondoa M23( vita vya msituni), imeenda Comoro kipindi cha Kikwete na kurudisha utawala wa demokrasia na Nchi haijawahi Kupinduliwa.

Jeshi la Kenya limewahi kushinda wapi?
kdf has participated in 44 peacekeeping missions across the globe.Hata congo wamekuwako kwa muda .For your information kikosi cha kdf kinacho enda congo kitakuwa outside UN Blue Helmet .
1622214747463.png
 
Kdf imekuwa na mafanikio mengi Somalia..hakuna jeshi lingine linalo shikilia eneo kubwa la kama kdf.
Kdf imeweza kuyadhibiti maeneo ya Beles Qoqani,Kolbio, Fafadun,Elade Hosingo, Badhadhe na kismayu .Maeneo hayo yalikuwa ni ngome za alshabaab
Mwishowe tulitengeneza eneo la jubaland na ku install Rais ,Ahmed sheikh Madobe ambaye amekuwa rais wa eneo hilo muda wa miaka 9 sasa.
kdf entry into somalia was a game changer ,their one year operation surpassed all operations ever done in somalia since 1991 UPDF went to Mogadishu - and were moving ONE INCH every day - in 5yrs - they had managed to take I think 100 meters around their camp . Infact kismayu is the safest city in somalia as we speak.KDF entry into congo will also be a game changer watch this space.
We jamaa mmefanikiwa vipi wakati Al shabab bado wanatawala maeneo ya kusini na kati na juzi hapa mlikuwa mnajitamba Rais wao anaishi Kenya, Na bado kuna habari wanakusanya mapato kuliko serikali ya Somalia.

Pili, Somalia kuna AMISOM hata mapambano yanafanyika chini ya huo mwamvuli. Kuna majeshi ya burundi na Msumbiji pia. Kwahiyo sio tu jeshi la Kenya limechemka bali jeshi la Afrika kwa ujumla wake.

Mafanikio ni kuitokomeza Al shabab na kuleta amani Somalia hakuna mlichofanikiwa kwenye hivyo.

Na nahitaji chanzo cha hiyo habari ya nyie kudhibiti hayo maeneo uliyoyataja.
 
Back
Top Bottom