Tanzania yajibu mapigo kwa kauli za baadhi ya wabunge wa nchi za Ulaya

Tanzania yajibu mapigo kwa kauli za baadhi ya wabunge wa nchi za Ulaya

Hawa viongozi waliojipa mamlaka kwa "WIZI NA MABAVU" na hawa wengine "WANAOJIKOSHA KWA MKUU (Kwasababu ya matumbo yao na familia zao)" muda si mrefu wanaliangamiza taifa letu.

Wanaleta kiburi cha kijinga kwenye maswala ya muhimu kwa mustakbali na hatima ya taifa letu (Maswala muhimu hata kwa wale ambao hata hawajazaliwa bado na wale wala mimba zao kutunga).

WITO: Wao kama wanaona wana jeuri/viburi/ukaidi wa kupambana na wafadhili wetu na mataifa yenye nguvu duniani, wajikusanye na kujiorodhesha kwa majima kikundi chao na waende wakapambane nao kivyao huko. Wasitutumie kwa "NIABA" watanzania "WOTE" kupambana na wanaotuzidi hela/mejeshi/silaha/maarifa.
 
Hawezi kuishi bila usaidizi. Hata kama ni biashara lazima usfanye na mataifa mengine. Hiyo ni kujimwabafai tu. Wabanwe tu. Wameiiabisha Tanzania na hawafai kuwa katika ofisi hizo.

Sovereignty haina maana kuwa CCM iibe uchaguzi na kuua watu huku dunia ikiwa kimya. Ni sawa na mtu mwenye familia. Hauwezi kuuwa watoto wako huku majirani na serikali wakitizama tu. Ukiulizwa unakodoa macho kwa hasira na kusema hawa ni watoto wangu. Hiyo ni argument ya kijinga.
Eti uchaguzi umeibiwa!! Aliyeibiwa ni mama yako????
 
Yaani upewe hela za kupambana na COVID-19, wewe ukazitumie kusambazia mabango ya kampeni ya uchaguzi mkuu ya chama chako nchi nzima,kugawa hela barabarani kama pipi pamoja na kununua majogoo laki moja moja halafu waliokupa wahoji juu ya matumizi ya hela zao kisha uwafukuze?Hizi ni akili za wapi hizi?How come binadamu anakuwa na akili kama hizi?Ni nini hiki?Kati ya wewe na aliekupa hela zake ukazitumia vibaya kinyume na makubaliano ni nani mwenye makosa?
 
Yaani upewe hela za COVID-19, wewe ukazitumie kusambaza mabango ya kampeni za uchaguzi mkuu za chama chako nchi nzima halafu waliokupa wahoji juu ya matumizi ya hela zao kisha uwafukuze?Hizi ni akili za wapi?How come binadamu anakuwa na akili kama hizi?Ni nini hiki?Kati ya wewe na aliekupa hela zake ukazitumia vibaya kinyume na makubaliano ni nani mwenye makosa?
Covid 19 ndio nini??
 
1605982611846.png
 
Hawezi kuishi bila usaidizi. Hata kama ni biashara lazima usfanye na mataifa mengine. Hiyo ni kujimwabafai tu. Wabanwe tu. Wameiiabisha Tanzania na hawafai kuwa katika ofisi hizo.

Sovereignty haina maana kuwa CCM iibe uchaguzi na kuua watu huku dunia ikiwa kimya. Ni sawa na mtu mwenye familia. Hauwezi kuuwa watoto wako huku majirani na serikali wakitizama tu. Ukiulizwa unakodoa macho kwa hasira na kusema hawa ni watoto wangu. Hiyo ni argument ya kijinga.
tulia ccm ikuongoze
 
Siku chache zijazo msianze kulialia lakini 🤣🤣
Hata mwanamke akitumia vibaya hela ya matumizi uliyompa, pale unapomuuliza anajibu kitu kingine kabisa kama tulivyoona
Dawa ni makwenzi tu
 
Hawa viongozi waliojipa mamlaka kwa "WIZI NA MABAVU" na hawa wengine "WANAOJIKOSHA KWA MKUU (Kwasababu ya matumbo yao na familia zao)" muda si mrefu wanaliangamiza taifa letu.

Wanaleta kiburi cha kijinga kwenye maswala ya muhimu kwa mustakbali na hatima ya taifa letu (Maswala muhimu hata kwa wale ambao hata hawajazaliwa bado na wale wala mimba zao kutunga).

WITO: Wao kama wanaona wana jeuri/viburi/ukaidi wa kupambana na wafadhili wetu na mataifa yenye nguvu duniani, wajikusanye na kujiorodhesha kwa majima kikundi chao na waende wakapambane nao kivyao huko. Wasitutumie kwa "NIABA" watanzania "WOTE" kupambana na wanaotuzidi hela/mejeshi/silaha/maarifa.
Wewe mpumbavu. We mtoto mdogo leo unajifanya kuijua Tanzania.
Wazazi wako wamesaidiwa na serikali ya Tanzania Leo unaleta upumbavu wako hapa.
 
Nadhani Balozi wetu kule alisema kwamba tulichosikia ni uzushi tu, kwamba kilichokaa kikao sio Bunge zima bali ni kamati ndogo tu na ni wajumbe watano pekee ndio waliokuwa na ‘kiherehere’

Leo Waziri anasemaje? Are these people communicating and speaking the same language? Waziri nae anaanzaje kuongelea uzushi, tena wa ‘wahuni’ watano tu?
 
Yaani upewe hela za kupambana na COVID-19, wewe ukazitumie kusambazia mabango ya kampeni ya uchaguzi mkuu ya chama chako nchi nzima,kugawa hela barabarani kama pipi pamoja na kununua majogoo laki moja moja halafu waliokupa wahoji juu ya matumizi ya hela zao kisha uwafukuze?Hizi ni akili za wapi hizi?How come binadamu anakuwa na akili kama hizi?Ni nini hiki?Kati ya wewe na aliekupa hela zake ukazitumia vibaya kinyume na makubaliano ni nani mwenye makosa?
Hakuna aliyeomba hizo pesa, wenyewe walijikomba kwa ujinga wao, wakitaka kujua jinsi zilivyotumika wanapaswa kuja kwa heshima sio kupiga kelele kama kichaa, sisi ni taifa huru hawapaswi kutuchezea, waende wakawachezee wakenya wenye kuhitaji misaada ktk kila project, sisi ni kisiki cha Mpingo, hatutikisiki.
 
mkoa naotoka mimi kuna maskini 60% na mafukara 20% hizo yuro 27milioni zimeenda wapi sisi huku hali tete hayo ndio tunataka kusikia
kwa hiyo kazi ya serekali ni kufanya wananchi kuwa matajili...?? kazi kubwa ya serekali ni kutengeneza njia kisha mwananchii kuitumia njia hiyo kama kilainishi cha fursa...
SIJAMANISHA NJIA NI BARABARA TU...
 
Nadhani Balozi wetu kule alisema kwamba tulichosikia ni uzushi tu, kwamba kilichokaa kikao sio Bunge zima bali ni kamati ndogo tu na ni wajumbe watano pekee ndio waliokuwa na ‘kiherehere’

Leo Waziri anasemaje? Are these people communicating and speaking the same language? Waziri nae anaanzaje kuongelea uzushi, tena wa ‘wahuni’ watano tu?
Umesikiliza video wewe.
Tatizo lenu upuuzi na low IQ. Mnazingua kishenzi.
 
Nadhani Balozi wetu kule alisema kwamba tulichosikia ni uzushi tu, kwamba kilichokaa kikao sio Bunge zima bali ni kamati ndogo tu na ni wajumbe watano pekee ndio waliokuwa na ‘kiherehere’

Leo Waziri anasemaje? Are these people communicating and speaking the same language? Waziri nae anaanzaje kuongelea uzushi, tena wa ‘wahuni’ watano tu?
Hili swala limezungumzwa ndani ya kamati ya bunge la ulaya, utasemaje ni wahuni, wabunge watano wamechangia hii ajenda, wewe ulitaka hadi wabunge wote wachangie?, japo hawajafikia maazimio, lakini limezungumzwa katika vikao rasmi, ni muhimu sana serikali kutoa msimamo wake, endapo wataendelea na hio ajenda, ni muhimu wakijua msimamo wa Tanzania
 
Hakuna aliyeomba hizo pesa, wenyewe walijikomba kwa ujinga wao, wakitaka kujua jinsi zilivyotumika wanapaswa kuja kwa heshima sio kupiga kelele kama kichaa, sisi ni taifa huru hawapaswi kutuchezea, waende wakawachezee wakenya wenye kuhitaji misaada ktk kila project, sisi ni kisiki cha Mpingo, hatutikisiki.
Moja ya mikataba ambayo Tanzania imesaini na EU ni uaminifu katika matumizi ya hela.Kama walipewa hela kimakosa walipaswa kuzirudisha kwa uaminifu.Kitendo cha kupewa hela kimakosa na kuzipiga ni kuvunja mikataba ya uaminifu.

Lakini pia kupewa hela kimakosa na kuzifuja haikuondolei hatia na haikufanyi uonekane hujatenda kosa kisa eti ulipewa hela ambayo hujaomba.Sana sana inakufanya uonekane kuwa ni mtu ambae haupo makini na hauna uaminifu kwa wadau wako wa maendeleo kitu ambacho kinajenga kutokuaminiwa tena na huu ni upunguani.
 
Back
Top Bottom