Tanzania yajibu mapigo kwa kauli za baadhi ya wabunge wa nchi za Ulaya

Tanzania yajibu mapigo kwa kauli za baadhi ya wabunge wa nchi za Ulaya

Miaka ya 70s walileta ujinga wao kwa Nyerere akawafukuza wajerumani na Waingereza kama Mbwa koko na vipesa vyao akawarudishia, hawawezi kututisha na ujinga wao, wameambiwa kama wanao ushahidi kwa hayo wanayoyasema watoe ili tujadiliane, badala ya kuyaleta ili yatolewe majibu, wao wanatishia na misaada, wajinga sana hawa


Huyu mwenye domo kubwa anashindwa kuelewa kuwa the impact of Covid 19 was not only a medical issue, but an all inclusive effects. It touches the sense organ of every sector. It leaves no stone unturned. Think of tourism, air transportation, etc all have been affected by the pandemic. So for that note, every country needs the stimulus package to make the economy live. The question of statistics, testing and other bla bla had nothing to do with this financing. Whether you have less or more fatalities in your country, the economy will need to be boosted.
 
Yaani upewe hela za kupambana na COVID-19, wewe ukazitumie kusambazia mabango ya kampeni ya uchaguzi mkuu ya chama chako nchi nzima,kugawa hela barabarani kama pipi pamoja na kununua majogoo laki moja moja halafu waliokupa wahoji juu ya matumizi ya hela zao kisha uwafukuze?Hizi ni akili za wapi hizi?How come binadamu anakuwa na akili kama hizi?Ni nini hiki?Kati ya wewe na aliekupa hela zake ukazitumia vibaya kinyume na makubaliano ni nani mwenye makosa?

Brother mbona unatokwa tu na maneno bila hata chembe ya ushahidi?
Najua kawaathiri sana tundu lisu, ila naomba mumfikishie ujumbe huu "Accepting a disappointing election result is also a key part of democracy".
 
Brother mbona unatokwa tu na maneno bila hata chembe ya ushahidi?
Najua kawaathiri sana tundu lisu, ila naomba mumfikishie ujumbe huu "Accepting a disappointing election result is also a key part of democracy".
Ushahidi gani unataka?Kwani siyo sahihi kusema kwamba Tanzania hatukuangaika na Corona?
 
Hawa viongozi waliojipa mamlaka kwa "WIZI NA MABAVU" na hawa wengine "WANAOJIKOSHA KWA MKUU (Kwasababu ya matumbo yao na familia zao)" muda si mrefu wanaliangamiza taifa letu.

Wanaleta kiburi cha kijinga kwenye maswala ya muhimu kwa mustakbali na hatima ya taifa letu (Maswala muhimu hata kwa wale ambao hata hawajazaliwa bado na wale wala mimba zao kutunga).

WITO: Wao kama wanaona wana jeuri/viburi/ukaidi wa kupambana na wafadhili wetu na mataifa yenye nguvu duniani, wajikusanye na kujiorodhesha kwa majima kikundi chao na waende wakapambane nao kivyao huko. Wasitutumie kwa "NIABA" watanzania "WOTE" kupambana na wanaotuzidi hela/mejeshi/silaha/maarifa.
Alafu unawaza sikumoja utakuwa kwenye nchi ya mafanikio....aiseee hebu kalale uko
 
Yaani upewe hela za kupambana na COVID-19, wewe ukazitumie kusambazia mabango ya kampeni ya uchaguzi mkuu ya chama chako nchi nzima,kugawa hela barabarani kama pipi pamoja na kununua majogoo laki moja moja halafu waliokupa wahoji juu ya matumizi ya hela zao kisha uwafukuze?Hizi ni akili za wapi hizi?How come binadamu anakuwa na akili kama hizi?Ni nini hiki?Kati ya wewe na aliekupa hela zake ukazitumia vibaya kinyume na makubaliano ni nani mwenye makosa?
Kalale...huna jipyaa kazi kulialia km mtot
 
Hili swala limezungumzwa ndani ya kamati ya bunge la ulaya, utasemaje ni wahuni, wabunge watano wamechangia hii ajenda, wewe ulitaka hadi wabunge wote wachangie?
Kasome vizuri nilichoandika maana hayo maneno yalisemwa na Balozi na hayakutoka kwangu.
 

MY TAKE: Wale waliodhani kwamba "tit for tat" tunawafanyia Kenya pekee.......

Sisi hatijaribiwi, Mwalimu Nyerere alishawahi kuwafukuza wajerumani na kuwarudishia pesa zao walizokua wameipatia Tanzania kama misaada, Magufuli anajiandaa kuwarudishia yeyote atakayejaribu kutuchokonoa.


Good, the country is still adamant.
 

MY TAKE: Wale waliodhani kwamba "tit for tat" tunawafanyia Kenya pekee.......

Sisi hatijaribiwi, Mwalimu Nyerere alishawahi kuwafukuza wajerumani na kuwarudishia pesa zao walizokua wameipatia Tanzania kama misaada, Magufuli anajiandaa kuwarudishia yeyote atakayejaribu kutuchokonoa.

Huyu ndio nani Sasa,macho kubwa nje na Meno mbaya kama ya Alshabaab🤣😂😂
 
Sijaelewa uzi huu, kuhusu drama zenu hizi na hao mabeberu wenu, mmeuanzisha humu kwenye jukwaa hili kwa nia ipi. Hayatuhusu sisi wakenya, wala hayaihusu nchi yetu ya Kenya. Alafu if I was to be completely honest, hivi vioja vyenu vya kila mara vina'bore' sana. Yaani ni sawa kabisa na kusoma ule ukurasa wa matangazo ya vifo kwenye gazeti. Tafuteni wataalamu wa kuwa andikia 'scripts' na mjitahidi zaidi pia kwenye kipengele nyeti cha ubunifu. Anyway, Moderator do the necessary.
 

MY TAKE: Wale waliodhani kwamba "tit for tat" tunawafanyia Kenya pekee.......

Sisi hatijaribiwi, Mwalimu Nyerere alishawahi kuwafukuza wajerumani na kuwarudishia pesa zao walizokua wameipatia Tanzania kama misaada, Magufuli anajiandaa kuwarudishia yeyote atakayejaribu kutuchokonoa.

Haya ndiyo majibu wazalendo tumeyasubiri sana! Viva JPM & serikali yake. Ifike mahali nasi tuwakoromee wasiojua mipaka na uhuru wa nchi zingine!
 
Moja ya mikataba ambayo Tanzania imesaini na EU ni uaminifu katika matumizi ya hela.Kama walipewa hela kimakosa walipaswa kuzirudisha kwa uaminifu.Kitendo cha kupewa hela kimakosa na kuzipiga ni kuvunja mikataba ya uaminifu.

Lakini pia kupewa hela kimakosa na kuzifuja haikuondolei hatia na haikufanyi uonekane hujatenda kosa kisa eti ulipewa hela ambayo hujaomba.Sana sana inakufanya uonekane kuwa ni mtu ambae haupo makini na hauna uaminifu kwa wadau wako wa maendeleo kitu ambacho kinajenga kutokuaminiwa tena na huu ni upunguani.
"Kupewa hela kimakosa"??? I hope you are not dreaming!
 
Calamagandacabugi should be ousted from our foreign offices,
 
Back
Top Bottom