Tanzania yajiunga na coalition of willing(COW) London 2016

Tanzania yajiunga na coalition of willing(COW) London 2016

Kwanza muwakabe Jumilee wawambie hela ya Euro Bond imeenda wapi, msisubiri mpaka election, Jubilee party imeanzishwa kwa hela ya Euro Bond na nani atalipa? The whole 44mil Kenyans. (Shiver in My spine)
 
I am Not even surprised with them.They are capable of doing anything........
 
Hawa ndugu zetu wa kusini TZ ni vigumu kuwaelewa...mara hatupo.. am thinking about it....halafu chini ya maji wanachipukia london wamejiunga na kenya na wanaeast africa wenzake kiuza EA tourim pamoja...!!!!!! ni kama kisichana kichanga kimapenzi...nataka...sitaki...mara anataka hakijielewi!!!


Hii mambo sitaki kabisa..tuwaache Wabonga wakae.Walikataa kujuinga kutoka mwanzo wa COW...Geza mii mimekataa katakata..
 
Hawa ndugu zetu wa kusini TZ ni vigumu kuwaelewa...mara hatupo.. am thinking about it....halafu chini ya maji wanachipukia london wamejiunga na kenya na wanaeast africa wenzake kiuza EA tourim pamoja...!!!!!! ni kama kisichana kichanga kimapenzi...nataka...sitaki...mara anataka hakijielewi!!!


Tanzania itajiungaje na CoW?, CoW ilikiwa ni tool ya kuiua Tanzania kiuchumi, sasa Tanzania akiingia ndani ya CoW maana nzima ya CoW itapotea
 
Mie nawafaham fika, kwa porojo, unafiq na mipango kabambe hawana mshindan, ngoja ifike utekelezaji zeroooooo, naskia wanajenga vyooo mia moja toka mwanza hadi dar??!!![HASHTAG]#hapakazituu[/HASHTAG][emoji2] [emoji2]
Hiki kiswahili kama ni cha mkenya bhasi na amekulia Tanzania....

Hii lahaja hata mombasa haipo.....

Kama ni mtanzania na unajifanya mkenya bhasi na Mungu atunusuru
 
Hiki kiswahili kama ni cha mkenya bhasi na amekulia Tanzania....

Hii lahaja hata mombasa haipo.....

Kama ni mtanzania na unajifanya mkenya bhasi na Mungu atunusuru
Mkenya huyo, ana bwabwaja tu hapa, hana cha kufanya.
 
Mbona Tanzania ndio walisha iuwa CoW siku nyingi? Pipeline, SGR, Congo, Rwanda, Burundi joining SGR, silk road to Juba via Ugandan, road crossing Serengeti, no EPA n counting.
 
ww jamaa huwa nakuona ni mshenzi sana, huwa unajifanya unajua mambo ya TZ kuliko hata ya kwenu. hyo habari ulioiweka ni uzi ambao mtu binafsi aliuleta humu jf. huwa nakuona unatabia za kike au mwanaume shoga.

Hao wa kike pamoja na mashoga ni vichwa sana kukuliko weye mlalahoi wa kijiweni!....mfano mzuri ni huu huu kompyuta unaoutumia sasa kuwatukana na kuwakebehi wasiokuwemo ulivumbuliwa na hao hao unaowakejeli!

shika adab na adabu ikushike!
 
Hao wa kike pamoja na mashoga ni vichwa sana kukuliko weye mlalahoi wa kijiweni!....mfano mzuri ni huu huu kompyuta unaoutumia sasa kuwatukana na kuwakebehi wasiokuwemo ulivumbuliwa na hao hao unaowakejeli!

shika adab na adabu ikushike!
Kwahiyo wewe ni shoga kweli?
 
Kwahiyo wewe ni shoga kweli?

Naomba niishie hapo kwasababu weye nimekusoma sana humu kwa michezo yako ya kitoto, kupakana tope, siko tayari kujishusha kwenye level yako......jifurahishe utakavyo!
Wahenga husema"dont wrestle with a pig because no one will know the difference between the two of you"!

Massalama!
 
Naomba niishie hapo kwasababu weye nimekusoma sana humu kwa michezo yako ya kitoto, kupakana tope, siko tayari kujishusha kwenye level yako......jifurahishe utakavyo!
Wahenga husema"dont wrestle with a pig because no one will know the difference between the two of you"!

Massalama!
Hujanijibu swali langu. Jibu ndio au hapana ili nijue.
 
ww jamaa huwa nakuona ni mshenzi sana, huwa unajifanya unajua mambo ya TZ kuliko hata ya kwenu. hyo habari ulioiweka ni uzi ambao mtu binafsi aliuleta humu jf. huwa nakuona unatabia za kike au mwanaume shoga.

Hehehe! Naona mambo ya mitandao ya kijamii yatakulemea maana unapata presha kiulaini sana, huku sio kwa kuleta jazba zako za kitoto maana hakuna atakayepata muda wa kukuonea huruma.
Huyo mleta hiyo mada unayemsema, yeye sio Mkenya hivyo elekeza jazba zako kwake maana ni Mtanzania mwenzio, na kama hutaki tuchangie basi msiwe mnaanika mambo yenu kwenye mitandao, maana tutayasoma na kuyajadili.

Hauwezi kuwa unavurugana na mkeo kwa makelele hadi majirani wanakuskia halafu unawakomesha kwamba wasikujadili.
 
Hujanijibu swali langu. Jibu ndio au hapana ili nijue.

Nikakujibu ili iweje?..jadili mada iliyoletwa hapo juu ,acha kuupindisha uzi hanithi weye.....kapelekee mabasha wako mkunduo humo humo Dar wapo wa kumwaga.....kalb hanith hayawan!
 
Huyu jamaa nimemsoma mara kadha wa kadha akiwa back up mapunga.

Ndiyo "nawaback up" kabisaa, ndio kazi yangu ya tatu vile ewe hohehahe la dunia la nne!
Kale limau ukiona linakutatiza sana!.....
Weye jamaa naona huna kazi!
 
Ndiyo "nawaback up" kabisaa, ndio kazi yangu ya tatu vile ewe hohehahe la dunia la nne!
Kale limau ukiona linakutatiza sana!.....
Weye jamaa naona huna kazi!

Punguza hasira, unawa back up au ni member
 
Ndiyo "nawaback up" kabisaa, ndio kazi yangu ya tatu vile ewe hohehahe la dunia la nne!
Kale limau ukiona linakutatiza sana!.....
Weye jamaa naona huna kazi!
Mbona unakimbia swali langu!!? Je mapunga(mabwabwa) na wewe mna uhusiano gani?
 
Back
Top Bottom