Tanzania yajiunga na coalition of willing(COW) London 2016

Tanzania yajiunga na coalition of willing(COW) London 2016

Mbona unaikimbia mada!...rudi kwenye mada kwanza.
Ok. Sawa nimekuelewa. Lakini siyo vizuri kutetea wenzako wazi wazi hivi. Jamii zetu za KiAfrica hususani Tanzania hatuko hivyo. Nakusihi rudi kundini.

Back to topic.
Hivi kwa akili yako kweli unadhani TZ inaweza kwenda kunye uhusiani kichwa kichwa? Tanzania ilishasema lazima vitu viwe wazi kuhusu utalii.
Sasa nyie wadogo zetu toka kenya kucha kuchwa mna kuja na propaganda za kudanganya wazungu.
Hakuna Single VISA with TZ sawa dogo!!?
 
Ok. Sawa nimekuelewa. Lakini siyo vizuri kutetea wenzako wazi wazi hivi. Jamii zetu za KiAfrica hususani Tanzania hatuko hivyo. Nakusihi rudi kundini.

Back to topic.
Hivi kwa akili yako kweli unadhani TZ inaweza kwenda kunye uhusiani kichwa kichwa? Tanzania ilishasema lazima vitu viwe wazi kuhusu utalii.
Sasa nyie wadogo zetu toka kenya kucha kuchwa mna kuja na propaganda za kudanganya wazungu.
Hakuna Single VISA with TZ sawa dogo!!?

Miye mwenyewe nilimuona mwakilishi wenyu akielezea kuhusu VIZA ya EAC pamoja juzi katika maonyesho ya biashara ya utalii ulaya, nchi zote zikiwa kwenye kumbi moja chini ya mwavuli wa EAC,...ilikuwa kwenye CCTV Africa!

Halafu mimi siyo mtanzania na nashukuru Mungu, kwa hivyo mila na desturi zenyu potofu hazinihusu ndewe wala sikio.
 
Miye mwenyewe nilimuona mwakilishi wenyu akielezea kuhusu VIZA ya EAC pamoja juzi katika maonyesho ya biashara ya utalii ulaya, nchi zote zikiwa kwenye kumbi moja chini ya mwavuli wa EAC,...ilikuwa kwenye CCTV Africa!

Halafu mimi siyo mtanzania na nashukuru Mungu, kwa hivyo mila na desturi zenyu potofu hazinihusu ndewe wala sikio.
Duh!!! Kwahiyo Mila za kizungu za bwana cameroon ndio unazipenda?
 
Back
Top Bottom