Ad majorem
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 939
- 1,460
Mikopo oyeeee? Na Mimi kesho naenda kukopa bank
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upewe una uzuri gani babu!!Wewe jibu swali, hiyo 40bn $ tumepewa au?
Sasa ni nini hiyo pesa, imeokotwa au imekuwaje?Upewe una uzuri gani babu!!
Lala mzee wanguSasa ni nini hiyo pesa, imeokotwa au imekuwaje?
Wewe jibu hoja au kaa kimya, hiyo pesa imeokotwa kwamba sasa tuanze kukopa kama wendawazimu?Lala mzee wangu
hahahahaaaaaaHaya mambo ndio aliyakataa Ndugai Ipo siku nchi itapigwa mnada.
wanawalipa wafanyakaz hewa eti fidiaDuuuh! jambo jema,ila zisimamiwe vizuri hizo pesa,zinapoliwa hovyohovyo sisi wananchi wa chini,ambao hatuna access ya hizo pesa,tunasikitika.Mama awe mkali kama mtangulizi wake,asisubirie eti nidhamu ya kutoka moyoni,atatajirisha watu na atafukarisha watu.
Rejea kinachoendelea mitaani, mitandao ya kijamii, vyombo vya habari na hata vijiweni, wakidai kuna WAHUNI, CHAWA nami nimeongeza MCHWAHao mchwa unawafahamu?
Mitaani unaishi peke yako? Kinachoendelea mitaani ni hiki hapa 👇Rejea kinachoendelea mitaani, mitandao ya kijamii, vyombo vya habari na hata vijiweni, wakidai kuna WAHUNI, CHAWA nami nimeongeza MCHWA
Wahuni wanadanganya
Chawa wanatekenya
Mchwa wanatafuna
asante kwa kunisaidia kujibu mkuuNdugai ni Spika mstaafu wa bunge la Jamhuri wa Tanania na mkereketwa wa maslahi ya Tanganyika kwenye muungano!! Aliyoyasema tunaanza kuona dalili zake hata mwaka haujapita!1
Sasa hapo kajibu nini? Sio kila mwenye mvi ana hekima wengine ni wapumbavu kama huyo speaker na nyie mnaosapotiana upuuzi.asante kwa kunisaidia kujibu mkuu
Upuuzi unaujua ww au unaropoka tuSasa hapo kajibu nini? Sio kila mwenye mvi ana hekima wengine ni wapumbavu kama huyo speaker na nyie mnaosapotiana upuuzi.