Tanzania yalipa Fidia ya Tsh. Bilioni 75 kwa kufuta Leseni ya Kampuni ya Madini

Ila CCM buana, hawanaga hata aibu. Leo Dodoma nimekutana na Magari makali sana sana mashangingi ya 2023 yanatokea mji wa kiserikali, nikajichekea moyoni mwangu tu kuwa UTADHANI UZURI WA HAYA MAGARI UTADHANI UNAENDANA NA WALIOBEBWA HUMO NDANI, KUMBE NI EMPTY KABISA
 
Yaani unamaanisha wanalipwa ili wakazichukue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…