brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
Mziki wa bongo fleva umeendelea kutamba na kung'aaa ukanda huu wa africa mashariki na kati baada ya kuwa na wasanii wengi kwenye nominations kuliko nchi za kenya na uganda.
Hawa ni wasanii wa Tanzania watakao tuwakilisha
Best group ------- Navy kenzo
Best breakthrough act------ Raymond
Best female------- Vanessa Mdee
Listener's choice ------- Yamoto Band
Alikiba yeye anashare tuzo na Sauti sol katika category 2
Best collabo
Song of the year
Diamond platnumz yeye amepata category 2
Best Male
Artist of the Year
Ndugu watanzania mnapaswa kuwapigia kura hawa wawakilishi wetu ili waweze kuleto tuzo Tanzania
Wekeni timu zenu pembeni maana mnaweza kuwasahau kuwapigia kura navy kenzo na kina vanessa
Proudly Tanzanian
Hawa ni wasanii wa Tanzania watakao tuwakilisha
Best group ------- Navy kenzo
Best breakthrough act------ Raymond
Best female------- Vanessa Mdee
Listener's choice ------- Yamoto Band
Alikiba yeye anashare tuzo na Sauti sol katika category 2
Best collabo
Song of the year
Diamond platnumz yeye amepata category 2
Best Male
Artist of the Year
Ndugu watanzania mnapaswa kuwapigia kura hawa wawakilishi wetu ili waweze kuleto tuzo Tanzania
Wekeni timu zenu pembeni maana mnaweza kuwasahau kuwapigia kura navy kenzo na kina vanessa
Proudly Tanzanian