Tanzania yang'aa kwenye MTV MAMA Nominees mwaka 2016

Tanzania yang'aa kwenye MTV MAMA Nominees mwaka 2016

brave one

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
4,879
Reaction score
7,386
Mziki wa bongo fleva umeendelea kutamba na kung'aaa ukanda huu wa africa mashariki na kati baada ya kuwa na wasanii wengi kwenye nominations kuliko nchi za kenya na uganda.
Hawa ni wasanii wa Tanzania watakao tuwakilisha
Best group ------- Navy kenzo
1475492852928.jpg

Best breakthrough act------ Raymond
1475492903199.jpg

Best female------- Vanessa Mdee
1475492952125.jpg

Listener's choice ------- Yamoto Band
1475493063792.jpg

Alikiba yeye anashare tuzo na Sauti sol katika category 2
Best collabo
Song of the year
1475493177251.jpg

Diamond platnumz yeye amepata category 2
Best Male
Artist of the Year
1475493296889.jpg

Ndugu watanzania mnapaswa kuwapigia kura hawa wawakilishi wetu ili waweze kuleto tuzo Tanzania
Wekeni timu zenu pembeni maana mnaweza kuwasahau kuwapigia kura navy kenzo na kina vanessa
Proudly Tanzanian
 
Kura zinapigwaje. Niwapigie wote fasta
Mkuu nimejaribu kupandisha link imenigomea mods watanisaidia ila pia unaweza kwenda kwenye ukurasa wa mtv base africa facebook na kupiga kura
Mziki wa bongo fleva umeendelea kutamba na kung'aaa ukanda huu wa africa mashariki na kati baada ya kuwa na wasanii wengi kwenye nominations kuliko nchi za kenya na uganda.
Hawa ni wasanii wa Tanzania watakao tuwakilisha
Best group ------- Navy kenzo
View attachment 411380
Best breakthrough act------ Raymond
View attachment 411382
Best female------- Vanessa Mdee
View attachment 411383
Listener's choice ------- Yamoto Band
View attachment 411386
Alikiba yeye anashare tuzo na Sauti sol katika category 2
Best collabo
Song of the year
View attachment 411388
Diamond platnumz yeye amepata category 2
Best Male
Artist of the Year
View attachment 411389
Ndugu watanzania mnapaswa kuwapigia kura hawa wawakilishi wetu ili waweze kuleto tuzo Tanzania
Wekeni timu zenu pembeni maana mnaweza kuwasahau kuwapigia kura navy kenzo na kina vanessa
Proudly Tanzanian
 
Bongo ipo juu ki-muziki kwa sasa big up kwao woooote
 
hongera zao,tupigeni kura za kutosha kuwapa support
 
Nadhani Tanzania tunafuatia baada ya Nigeria na South Africa,step kubwa sana.TANZANIA UP [HASHTAG]#VOTE[/HASHTAG] [HASHTAG]#VOTE[/HASHTAG]
 
Safari hii hawajakosea kusema wanatoka nchi ya jirani
 
Mziki wa bongo fleva umeendelea kutamba na kung'aaa ukanda huu wa africa mashariki na kati baada ya kuwa na wasanii wengi kwenye nominations kuliko nchi za kenya na uganda.
Hawa ni wasanii wa Tanzania watakao tuwakilisha
Best group ------- Navy kenzo
View attachment 411380
Best breakthrough act------ Raymond
View attachment 411382
Best female------- Vanessa Mdee
View attachment 411383
Listener's choice ------- Yamoto Band
View attachment 411386
Alikiba yeye anashare tuzo na Sauti sol katika category 2
Best collabo
Song of the year
View attachment 411388
Diamond platnumz yeye amepata category 2
Best Male
Artist of the Year
View attachment 411389
Ndugu watanzania mnapaswa kuwapigia kura hawa wawakilishi wetu ili waweze kuleto tuzo Tanzania
Wekeni timu zenu pembeni maana mnaweza kuwasahau kuwapigia kura navy kenzo na kina vanessa
Proudly Tanzanian
hapo bado johmakin tu kamis
 
Joh Makini kama kashindwa kuingia mwakahuu wa don"t bother na perfect combo sijui kama atapata nafasi tena
 
Back
Top Bottom