Tetesi: Tanzania yaondolewa kwenye mradi wa kimataifa kuhusu nishati endelevu kikwazo kikiwa ni sheria ya takwimu

We unajifanya unaakili na kujua kuitafsiri sheria ya takwimu kuliko serikali yetu tukufu iliyotunga hiyo sheria?
Naomba nikujulishe kuwa mie sijifanyi nina akili, kiukweli wewe una akili zaidi yangu! Mie kazi yangu ni kusema ukweli na Kwa bahati nzuri sheria ya takwimu naijua sana kuliko wewe na ndugu zangu wapinzani wa kila jambo ingawa akili yangu ndogo kuliko mtoto aliyezaliwa leo
 
Kwa hiyo hao wanaoipinga hawajaielewa sheria au?
 
...NB: Siwezi kuweka source kwa kuogopa kuichongea hiyo taasisi ya kimataifa na watu walio kwenye wizara walioridhia Tanzania kuondolewa kwenye huo mradi.
Udaku wa namna hii ndio makamanda wanaupenda. Yaani hide my ID please. Bila source, ha ha ha.
 
Endeleeni kumsifia huyu mtu, hadi nchi itakapovurugika ila msije kusema hatukuwambia.
 
Utasikia chadema ndio walio sababisha
 
Weka link acha uoga wa kipuuzi.
Hili sio suala la link ni habari kutoka jikoni ambako na mie nipo. Huo ni mradi wa kitengo cha World Bank ambao ulikuwa unahitaji Tanzania kutoa statistics ambazo haijapitishwa na serikali. Hilo ndio nitakueleza. Kama unataka nenda ofisi za World Bank kawaulize wakupe habari zaidi.
 
Hao ni mabeberu waliotumwa na chadema kuhujumu juhudi za ********
 
Kwa hiyo taarifa hii ni siri?
Nani mna/wanamuogopa hadi waogope kutoa taarifa hadharani?
Weka link acha ubabaishaji wa kipuuzi.
 
Nadhani siyo kuchongea. Ni kweli tupu. Sheria zingine zilitungwa bila kushirikisha wadau, yaani hapakuwa na ignorance of corporate veil. Hilo ni tatizo ambalo litatusumbua sana. Lingine la safari ni kweli, kibali mtu unatakiwa kuomba 14 days kabla ya safari, na mara nyingi safari huwa ghafla, ingawa kuna dharula na inafanya kazi kwa masharti
 

Hivi unajua kukosoa takwimu zilizotolewa na serikali ni kosa kwa sasa au haupo Tanzania. Kwa taarifa yako Zitto anakabiliwa na kesi hiyo, shauri yako
 
Swafiiii sana walahi
Tutakuwa kama Norway
 
Hiyo mijitu ni mijizi tu, tupa kule walahi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…