Tanzania Yapiga Kura Kuunga Mkono Azimio la Umoja wa Maifa Kuitaka Israel Ijitoe Haraka Iwezekanavyo Gaza

Tanzania Yapiga Kura Kuunga Mkono Azimio la Umoja wa Maifa Kuitaka Israel Ijitoe Haraka Iwezekanavyo Gaza

Sema US ARMY kills Hezb Commander, siri ambayo wengi hamuifahamu ni kua mtaala wa mafunzo ya kijeshi ya marekani na Israel ni sawa Kwa kila kitu, na mwanajeshi anaweza kutoka israel akaenda kupata ajira jeshi la marekani direct,
Yani siri ya Marekani na Israel uijuwe wewe wasijuwe Hizbollar wanauwawa kama kuku?

Una vituko sana.
 
Kama Israel hawatatoka watakao andamana Tz tarehe 23 watalipia juu ya hilo
Unalijua Taifa teule la Mungu au unajifurahisha tu. Kile ni kizazi cha Musa. Usipime. Hata hizo kura mkipigima mara 100 hazitawahi wala hazijawahi kuwa na athari yoyote kwenye sera na harakati za Israel za kupambana na kuwanyoosha magaidi wa mashariki ya kati na vibaraka wao. Uncle Sam ana kura ya VETO, so nothing can the UN vote do or change on ground, without support of all the P5, and 3 of which are pro-Israel. Hao UN members wengine ni wasindikizaji tu linapokuja suala la usalama wa dunia.
 
Sasa hii inawatisha nini Israel?
Imeandikwa, Yeyote atakayewabariki na mimi nitambariki na yeyote atakayewalaani na mimi nitamlaani, Bora sisi TZ pale UNGA tusingevote, maana hapa huenda ndizo hizi laana tunazoanza kuziona hapa kwetu kwa matukio ambayo hatukuyazoea. Next time we better abstein in such votings. It is the wise move.. Otherwise na sisi tutalaaniwa kama wale majirani zake wote waliojaribu eti kulifuta Taifa teule la Mungu mwaka 1967, KIBAO Kikawageukia wao in 6 days wakawa defeated.
 
wameota mikia..
234145_238500849_5075f1dd.jpg
 
Mimi nawashukuru sana, maana 1984 kwa ile njaa ya kipindi hicho, wasingekuwa hawa jamaa enzi za Ronald Reagan, sisi tuliokuwa mashuleni na vyuoni henda tungekufa kwa njaa. Ilikuwa balaa mpaka Mchonga kachanganyikiwa lakini pamoja na jeuri na ushujaa wake, ilibidi akimbile kwa Uncle Sam ili aokoe jahazi, na kweli alitupatia shehena ya Unga wa Njano tukaletewa mashuleni tukawa tumeponea hapo. Ulizia yoyote aliyekuwa shuleni Secondary na Vyuoni kipindi hicho wanajua . So we need them more than they need us. It is the only Super Power remaining, hata ungebishi kiasi gani. Hata hao wachina wenu bado sana, wanajitafuta.
 
Back
Top Bottom