Tanzania Yapiga Kura Kuunga Mkono Azimio la Umoja wa Maifa Kuitaka Israel Ijitoe Haraka Iwezekanavyo Gaza

Tanzania Yapiga Kura Kuunga Mkono Azimio la Umoja wa Maifa Kuitaka Israel Ijitoe Haraka Iwezekanavyo Gaza

Hizi kura za kujua nchi fulani imempigia kura fulani mtakuja kuufyata
 
Toka Kwa Mwalimu Nyerere Tanzania iliunga mkono palestina, lakini pia tuliunga mkono Biafra ijitenge kutoka Nigeria, tulivunja mahusiano na morroco, japo wamerudi majuzi tu hapo, Tanzania ni wajamaa ambapo mrengo huo ndio palestina alikua akiufuata
Na ndio mana maskini wa kutupwa japo nchi ina utajiri wa maliasili
 
Hapa huwezi kumsikia chura kiziwi akisema "wasituelekeze jinsi ya kuendesha serikali hata kwao kuna mauaji"
 
Thinking outside the box, kila mwanachama alieunga mkono azimio la kuisupport Palestine ina maana si rafiki tena wa Israel na itakuwa na athari katika mahusiano, biashara, utalii na mengineyo, mf Turkey wameondoa biashara ya chakula cha billions of money walichokuwa wakiuza Israel.

Hii ina maana pia raia wa Israel hawako salama tena kutembelea nchi zinazounga mkono Palestine. Israel inakuwa kisiwa kilichotengwa na sehemu kubwa ya dunia. Ni kitu kibaya sana kwa raia wake hawana amani tena.

Kuna nchi za ulaya kama Norway, Spain na Ireland tayari hazina tena ujamaa na Israel na hii si kitu kizuri kwa maslahi ya Israel.

Athari ni kubwa kuliko many people think.



Sasa hii inawatisha nini Israel?
 
Maazimia ya miaka ya karibuni tulikiwa tuna absteen ila Sasa tumeamua kuwa wawazi.

Misaada haiwezi kutuamulia Cha kufanya.
Mmeamua na nani? Hao vikaragosi mnaowaita viongozi hawawakilishi maoni ya kila mtanzania....unawaonea huruma palestina wakati kwa wananchi wako wewe ndiyo israel mtoa roho....huko Gaza wamalizane wenyewe, watwangane hata wakiisha wote ni sawa tu, hyatuhusu....wengine tunajali roho za watanzania wenzetu tu....
 
Misaada yenyewe condom,vipimo vya ukimwi, wafanyakazi tacaids,prep,pep.. yaani kwenye ukimwi tu
Vijana wengi wa WaTz wamefocus maisha yao huko mahala. Hiyo misaada ya watu wa Marekani inaamua hatma ya taifa letu, for sure.
 
Marekani hasaidii maendeleo,anahangaika na hilo dubwana alotengeneza mwenyewe
Mkuu, kubali tu kwa uzuri au ubaya Tanzania haiwezi kabisa kuepuka mkono wa Marekani.

Imagine, nchi yenye watu resourceful kama China bado inaenenda kwa tahadhari na Marekani hadi leo. Wangeshaichukua Taiwan siku nyingi tu. Lakini wanajua inabidi wapige hesabu pana sana kabla ya kuvamia. Itakuwa sisi tusio na uongozi unaojielewa.
 
My Take
Tanzania imeendelea kutuma ujumbe Kwa Mabeberu hasa USA kwamba hatupangiwi na hatuchaguliwi rafiki.

Hongera sana Rais #SSH# Kwa msimamo thabiti.

View: https://www.instagram.com/p/DAIhcW4IJKI/?igsh=MXczZTFyNTc0eWxqbw==

Hicho chama chako kinachoteka watu wa Chadema ,kuwatesa na kuwaua na mkaambiwa muache huo useng£ wenu na mabalozi wa mataifa mengine mnaona mnaonewa na kusema msiingiliwe ,ninyi kwa nini mnaingilia mambo ya Israel ?
Unafiki mtupu !
Watu wanapotea kila siku na kuuawa na vyombo vya dola na uvccm kila siku lakini mpo kimyaa , kwamba mnajsli sana maisha ya wapalestina kuliko maisha ya watanzania ninyi wanafiki ?
 
Mkuu, kubali tu kwa uzuri au ubaya Tanzania haiwezi kabisa kuepuka mkono wa Marekani.

Imagine, nchi yenye watu resourceful kama China bado inaenenda kwa tahadhari na Marekani hadi leo. Wangeshaichukua Taiwan siku nyingi tu. Lakini wanajua inabidi wapige hesabu pana sana kabla ya kuvamia. Itakuwa sisi tusio na uongozi unaojielewa.
Inahusiana nini na msaada wa kondomu na vipima ukimwi wa marekani kwa tanzania?
 
Thinking outside the box, kila mwanachama alieunga mkono azimio la kuisupport Palestine ina maana si rafiki tena wa Israel na itakuwa na athari katika mahusiano, biashara, utalii na mengineyo, mf Turkey wameondoa biashara ya chakula cha billions of money walichokuwa wakiuza Israel.

Hii ina maana pia raia wa Israel hawako salama tena kutembelea nchi zinazounga mkono Palestine. Israel inakuwa kisiwa kilichotengwa na sehemu kubwa ya dunia. Ni kitu kibaya sana kwa raia wake hawana amani tena.

Kuna nchi za ulaya kama Norway, Spain na Ireland tayari hazina tena ujamaa na Israel na hii si kitu kizuri kwa maslahi ya Israel.

Athari ni kubwa kuliko many people think.
Achana na hao akina Turkey maana wao wana dunia yao.sasa Tanzania na Israel nani anamhitaji mwenzie?
 
My Take
Tanzania imeendelea kutuma ujumbe Kwa Mabeberu hasa USA kwamba hatupangiwi na hatuchaguliwi rafiki.

Hongera sana Rais #SSH# Kwa msimamo thabiti.

View: https://www.instagram.com/p/DAIhcW4IJKI/?igsh=MXczZTFyNTc0eWxqbw==

UN council wana nchi ambazo kura zao zina power US,Russia,China,UK. Hizo nchi ndio kura zao zinaangaliwa zaidi

Wengine mnasindikiza tu hapo. La pili huwez tuma ujumbe kwa beberu bado unapokea misaada, huyo huyo anakupa na mikopo yenye masharti.
punguza bakuli
 
Imefanya vyema kupinga mauaji ya watu Gaza yanayofanywa na Israel lakini lakini ubaya Tanzania inafanya mauaji halaiki ya watu wake Kwa kuwateka.
 
Huwezi kuunga mkono bila kutumia akili. Mwenye akili anasoma kwanza game mateka wasio na hatia waachiwe kwanza.. yaani kundi la magaidi linateka mtoto wa mwaka mmoja linataka libadilishane kwa wauaji mia 2 na zaidi and unataka aliyetekewa aache kupigania mateka wake mara moja wewe ni nani? na chakusangaza na wewe unamateka pia huko huko Gaza kwa unayemtetea.. ndio sisi ni wajinga ila hapo aliyepiga kura katuzidi wote..

Naishauri ISrael iwateketeze arabs wote wanaojiita Palestina ya arafat iliyoanishwa mwaka 1967..
 
Back
Top Bottom