Umeelezwa vizuri.Maazimia ya miaka ya karibuni tulikiwa tuna absteen ila Sasa tumeamua kuwa wawazi.
Misaada haiwezi kutuamulia Cha kufanya.
Usikute ndio maana nchi haiendeleiNi Chuki binafsi kwa Taifa teule la Mungu. Tunamshukuru Shujaa JPM angalau aliacha amefungua Ubalozi wetu wa kudumu pale Tel Aviv kabla hajafa. Mungua amrehemu kwa hili. Viongozi wengine walikuwa na chuki zao binafsi.
God bless IsraelMy Take
Tanzania imeendelea kutuma ujumbe Kwa Mabeberu hasa USA kwamba hatupangiwi na hatuchaguliwi rafiki.
Tanzania imepiga kura kuunga mkono azimio la Umoja wa Mataifa linaloitaka Israel kumaliza uwepo wake "usio halali" katika eneo la Gaza.
Azimio hilo, lililopitishwa siku ya Jumatano, linaitaka Israel kujiondoa kutoka Ukingo wa Magharibi na Jerusalem ya Mashariki ndani ya mwaka mmoja huku mgogoro na Hamas ukikaribia kutimiza mwaka mmoja mnamo Oktoba 7.
Azimio hilo, ambalo ni la kwanza kuandaliwa na Palestina katika Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UNGA), lilipitishwa kwa kuungwa mkono na nchi 124.
Hatua hii inafuatia uamuzi wa ushauri wa Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) uliotolewa mwezi Julai, ambao ulisema uwepo wa Israel katika maeneo ya Palestina ni kinyume cha sheria.
Soma Pia: Tanzania yapiga kura za mkutano mkuu UN Kupinga vita ya Israel-Gaza
Hongera sana Rais #SSH# Kwa msimamo thabiti.
Tanzania kuna viongozi wanajali uhai wao tuWenye kujitambua huwa wanakwepa hizi kura kwa ku abstain. It iis a wise tactic move, if you want to stay neutral wasijue umelalia wapi. Hii fuata mkumbo itakuja kutugharimu. Nchi zenye kujua manufaa ya kuwa karibu na Israel kama Rwanda ili wanufaike na Technology zao, huwezi kuona wanajihusisha na hizi agenda za magaidi za kutaka kuliangamiza Taifa la Mungu.
Cina haijawahi kuwa challenged kama Marekani alivyopitia.Mimi nawashukuru sana, maana 1984 kwa ile njaa ya kipindi hicho, wasingekuwa hawa jamaa enzi za Ronald Reagan, sisi tuliokuwa mashuleni na vyuoni henda tungekufa kwa njaa. Ilikuwa balaa mpaka Mchonga kachanganyikiwa lakini pamoja na jeuri na ushujaa wake, ilibidi akimbile kwa Uncle Sam ili aokoe jahazi, na kweli alitupatia shehena ya Unga wa Njano tukaletewa mashuleni tukawa tumeponea hapo. Ulizia yoyote aliyekuwa shuleni Secondary na Vyuoni kipindi hicho wanajua . So we need them more than they need us. It is the only Super Power remaining, hata ungebishi kiasi gani. Hata hao wachina wenu bado sana, wanajitafuta.