Tanzania yapokea Msaada wa Dawa ya kufubaza COVID-19 kutoka Madagascar

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tuliweka Mungu awe Kinga yetu,
Na ame tufariji mno.
Na ataendelea kuufariji kwa vile tumemtegemea yeye kiukweli.
Hongera Raisi wetu Magufuli kwa kuonesha Ujasiri na Mapenzi Kwa Mungu Muumba Na imani Thabit.
Kumtegemea Mungu ni jambo jema sana. Mugnu anatenda kazi.
Hii scenario naifananisha na tukio moja.
Ni sawa na uende chumba cha mtihani hujaoma chochote halaf utegemee Mungu atakushushia majibu never? Utafeli 10000%
 
Nadhani hii kauli yako utaipinga. Wana vifo 279 mpaka sasa na maambukizi 55.4million.
Check your facts kabla hujatoa lawama hewa
 
Kabudi tena !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…