Tanzania yapokea Msaada wa Dawa ya kufubaza COVID-19 kutoka Madagascar

Tanzania yapokea Msaada wa Dawa ya kufubaza COVID-19 kutoka Madagascar

Dah!..hii nchi hii....haya bhana...acha nisiongeze chochote.
 
Dawa kanywa barakoa ya nn [emoji23]
IMG_20200508_152750_249.JPG
IMG_20200508_155128_141.JPG


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata akisema watu wanywe mav*, baadhi watasifia na kupiga picha wakinywa. Na TV station yao itatetea tu. Watu wanaumini kama ni dini vile.
Hahahahahhahaaaa Magu made my day today dah.Sasa Kabudi na uprofesa wake wote maskini muone hapo utasema clown dah kupelekeshwa huku jamani hahahahaha
 
Safi sana mzee wa chato kumbe unwapenda raia wako umefaiti hadi mzigo umefika

Mwambie bi Ummy fasta ausambaze katika hospital zetu pia msiwasahau na wale wapemba kule Zenji wasije wakafa na corona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom