Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Babu wa madagascar kaingiza mtonyo leoHaitafua dafu, ni sawa tu na kikombe cha babu wa Loliondo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Babu wa madagascar kaingiza mtonyo leoHaitafua dafu, ni sawa tu na kikombe cha babu wa Loliondo!
Cha msingi wewe piga hii kikombe ya babu wa Madagascar majibu tutajua mbele kwa mbele.Yaan anatujali kwa kutuletea madawa ya kienyeji,,
Wewe mwanamke unahangaika sana.Asante awamu ya tano kwa kuwajali Watanzania
Yaani kwa vile kuna dawa malaria za malaria basi watu hawaumwi malaria....wanaumwa na wanaweza kufa...[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Ni hivi , 95% ya viongozi wa ccm ni tia maji tia majiSasa wanakunywa kabisa inamaana wanakorona au....
Au itabidi kila mtu anywe maana hatujui nani mgonjwa nani mzima maana vipimo vyenyewe vinatiliwa mashaka.
Hata sijaelewa.
AiseeNi hivi , 95% ya viongozi wa ccm ni tia maji tia maji
Oooh kumbe si kinga ni tiba, kwa hiyo jamaa kapokea na kupata tiba hapohapo. Sasa hivi haogopi kuonekana muathirika, lakini kabla ya hapo...
Dada hizo dawa hata huku China zipo na ni dawa za maji watu walikua wanakunywa kwa usiz baze kwa kifupi ni antiviral drugs.Hahahaaaaa uwiii Magu jmni kama ze comedy show
Haitafua dafu, ni sawa tu na kikombe cha babu wa Loliondo!
Nakiona kikombe cha Babu wa Loliondo kikirudi tena kwa sababu ya kupenda mambo ya bure, na hata pia kwa kukwepa kugharamia mambo ya msingi. Tulianza maombi, kisha kupiga nyungu sasa msaada wa kutoka Madagascar.Serikali ya Tanzania imepokea msaada wa dawa ya kutibu na kujikinga na ugonjwa wa COVID-19 unaosababishwa na Virusi vya Corona uliotolewa kwa Tanzania na Nchi ya Madagascar, Msaada huo umepokelewa na Waziri wa Mambo ya Nje Prof Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi.
Ndege maalum ya ujumbe wa Tanzania ikiwasili nchini Madagascar Katika Uwanja wa Kimataifa wa Ivato kupata mimea ya Covid Organics, mchango kutoka Jamhuri ya Madagascar. Ujumbe huo ulipokelewa na Mkuu wa diplomasia Djacoba Tehindrazanarivelo.
Mkuu kwani wewe ni mgeni hapa nchini?Msaada? Msaada gani wakati mkwanja umetumika hapo!
Hayo maboksi hayatoshi hata chattle tu.Asante Rais Magufuli kwa kuwajali Watanzania