Tanzania yapokea Msaada wa Dawa ya kufubaza COVID-19 kutoka Madagascar

Tanzania yapokea Msaada wa Dawa ya kufubaza COVID-19 kutoka Madagascar

😭😭😭😭😭😭😭😭😭
 

Attachments

  • IMG-20200508-WA0013.jpg
    IMG-20200508-WA0013.jpg
    43.4 KB · Views: 2
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Yaani kwa vile kuna dawa malaria za malaria basi watu hawaumwi malaria....wanaumwa na wanaweza kufa...

"corona ipo tuchukue tahadhari"
 
Sasa wanakunywa kabisa inamaana wanakorona au....

Au itabidi kila mtu anywe maana hatujui nani mgonjwa nani mzima maana vipimo vyenyewe vinatiliwa mashaka.

Hata sijaelewa.
Ni hivi , 95% ya viongozi wa ccm ni tia maji tia maji
 
Hahaha...hii dozi naona itatosha watu walio kwenye makazi ya mzee pale burigi, sisi tulio huku pembeni nyambitilwa sijui itakuwaje.....anyway, kuweni makini kutupa nyungu zenu hiyo ya madagasca mnaweza kuishia kuisoma tu kwenye media....
 
Serikali ya Tanzania imepokea msaada wa dawa ya kutibu na kujikinga na ugonjwa wa COVID-19 unaosababishwa na Virusi vya Corona uliotolewa kwa Tanzania na Nchi ya Madagascar, Msaada huo umepokelewa na Waziri wa Mambo ya Nje Prof Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi.


Ndege maalum ya ujumbe wa Tanzania ikiwasili nchini Madagascar Katika Uwanja wa Kimataifa wa Ivato kupata mimea ya Covid Organics, mchango kutoka Jamhuri ya Madagascar. Ujumbe huo ulipokelewa na Mkuu wa diplomasia Djacoba Tehindrazanarivelo.

Nakiona kikombe cha Babu wa Loliondo kikirudi tena kwa sababu ya kupenda mambo ya bure, na hata pia kwa kukwepa kugharamia mambo ya msingi. Tulianza maombi, kisha kupiga nyungu sasa msaada wa kutoka Madagascar.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutoka kumwomba Mungu wa mbingu na nchi hadi Mungu wa Madagascar.
 
Kama hatukujifunza kwa Babu wa Loliondo ndio basi tena, kizazi kimeangamia hiki.
 
Back
Top Bottom