Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
🤣Hio ni michongo ya kupiga hela bila shaka. Mtu kafukuzwa miaka 5 nyuma akatulia tulii maana alijua amecheza rough na hizo kampuni nyingi ni camouflage za Watanzania wenzetu. Leo hii wanaibuka sababu mazingira ya kupiga hela kupitia kesi ni rahisi.Hiyo ni michongo ya watu. Hawa wanyonyaji kipindi wanafurushwa walinywea na kukubali yaishe. Wamesubiri hadi nchi kashika bibi yao saivi ni kujilimbikizia tu mimali.
Hadi sasa kesi zaidi ya 5 hakuna hata moja tulioshinda, ni vikampuni uchwara vinajitokeza na kudai fidia na cha ajabu wanashinda na hela wanalipwa right away. Huu ni uhuni tunafanyiwa kama nchi.
Nakumbuka Magu alipiga marufuku mchezo wa wanasheria wa serikali kushindwa kesi na kulipa fidia kwa style hio maana walikuwa wana migao kwenye hizo fidia. Sahizi huo mchezo umerudi tena. Ni kama organized crime money.