Sikulijua hili.Algeria is second-cheapest at 0.51 dollars, while Somalia takes the third-cheapest slot on the continent, at 0.60 dollars.
Kuna watu ni wachawi hatari na hao ni machadema na mataga masalia ya MwendazakeKwani mtu kumsifia Rais wake au nchi yake wewe unateseka nini?
Wewe jua kinachoangalia ni easy of doing business hayo mengine ni yakoWaneangalia vigezo gani vingne kwenye kufanya comparison za gharama? Maana lazma tujue purchasing power ya hizo nchi na nchi yetu zipoje? hali ya uchumi/ kipato cha chini cha wananchi wa hizo nchi na nchi yetu kipoje? Nk.
Tuachane kufikili kama watoto
Wewe jua kinachoangalia ni easy of doing business hayo mengine ni yako
Hio gb moja pengine inaakaa ata mwez tofauti na apa bongoland inakaa masaaDaaah kumbe Kuna watu wanunua GB1 kwa Tshs 13,000 hapahapa Africa halafu sisi buku maneno mengiiii,
Samia yuko vizuri 2025 anakura yangu
Ujajibu swali. Soma tena ndio utoe jibukwahio kila sku ukiambiwa 1$ - 2300 tsh , kumbe bado hujaelewa maaana nzima!
Mmh.Wewe jua kinachoangalia ni easy of doing business hayo mengine ni yako
Inakusaidia nini? Stick kwenye point,mlinganyo mzuri hauji kama mvua bali unawekewa mazingira kama aliyoweka mama.Vipi mlinganyo wa hali ya uchumi miongoni mwa hizo nchi ukoje?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwache musiba mwenzako, mbona wewe ulikuwa musiba wa awamu iliyopita? [emoji3][emoji3]
Hiyo bado kubwa sana, mwambie mama watu wake bado tunalia maana hali zetu za kiuchumi hazituruhusu kupata hiyo GB 1.
Mwambie mitandao tunayotumia wananyonya data kwa nguvu
Yule waziri shemeji wa hangaya unatapatapa mwisho 2025Wasalaam Watanzania wenzangu,
Nchi yetu imetajwa kwenye orodha ya nchi kumi zenye gharama ndogo kwenye kununua GB1 ya internet barani Africa kwa tathmini iliyofanywa mwezi uliopita.
Bei ya juu ya kununua GB1 kwa Tanzania ni US$ 0.75 karibu sawa na Tshs 1,650 japokuwa mitandao mingi bei ya GB1 ni Wastani wa Tshs 1,000.
Wakati huohuo Sisi tunanunua GB1 kwa " Buku " wenzetu wa Mauritania wao wananunua GB1 kwa US$ 5.56 karibu Tshs 13,000 za Kitanzania,Maana yake ukienda na Tshs elfu 13 za kununua GB13 Tanzania Mauritania jiandae kununua GB1 tu, Nadhani mmeelewa kwa kiasi gani Mama Samia anatupenda watu wake.
Sio huko tu, hata majirani zetu na marafiki zetu wa kibiashara wa muda mrefu Kenya wao wananunua GB1 kwa zaidi ya Tshs 5,000 au US$ 2.25 kwa lugha nyepesi Mkenya akiweka GB 1 kwenye simu|Mtanzania ataweka GB 5 kwa kiwango hichohicho cha Pesa na hii ndio dhana ya Mama Samia katika kuwajali na kuwathamini wanyonge kwani anatambua zaidi ya watu 30M wanatumia internet kwa maana ya kuwa na Simu Janja|Smartphone na wanazitumia kibiashara yaani e-business.
Viva Tanzania | Viva Samia | Viva CCM
________________________________
Read the following story on The Star, Kenya: "The top 10 African countries with the cheapest internet data plans" — The top 10 African countries with the cheapest internet data plans
👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿
The top 10 African countries with the cheapest internet data plans
__________________________________
Millions of Africans accessing mobile data at some of the lowest prices in the world.
In Summary
______________
• Kenya and South Africa, with advanced mobile infrastructure and high internet traffic, fall far behind the list, with charges of 2.25 dollars and 2.67 dollars per gigabyte of data respectively.
• The cost of mobile internet in Sudan is 27 US cents (0.27 US dollars) for every gigabyte of data.
BY CONRAD ONYANGO FOR BIRD
Africa.
10 September 2021 - 11:43
_________________________
Sudan leads nine other African countries that charge its citizens less than a dollar for a gigabyte (1 GB) of mobile data, a report by British technology research firm Cable shows.
The Northeastern Africa nation offers the lowest cost of internet access over a smartphone anywhere in Africa and ranks among the top five cheapest countries for mobile data, in the world, according to the Worldwide Mobile Data Pricing 2021.
The cost of mobile internet in Sudan is 27 US cents (0.27 US dollars) for every gigabyte of data.
The result is that access to the internet has become ubiquitous in many of the densely populated areas across the enormous country.
Citizens in Sudan "rely heavily on mobile data as the primary means to keep its populace connected to the rest of the world,” says the report.
Algeria is second-cheapest at 0.51 dollars, while Somalia takes the third-cheapest slot on the continent, at 0.60 dollars.
Consumer telecoms analyst at Cable, Dan Howdle, said countries with the cheapest rates of mobile data have excellent mobile and fixed broadband infrastructure, making it easier for service providers in those markets to be able to offer large amounts of data, which brings down the price per gigabyte.
“Others with less advanced broadband networks are heavily reliant on mobile data and the economy dictates that prices must be low, as that’s what people can afford,” said Howdle in the report.
Sudan, with a population of more than 45 million and at least 13 million internet subscribers is at par with Italy (0.27 US dollars), but trails Israel (0.05 US dollars, or 5 US cents), Kyrgyzstan (0.15 US dollars) and Fiji (0.19 US dollars), in the global ranking.
Other African countries that charge mobile internet subscribers less than a dollar to browse the web and run mobile apps are Ghana (0.66 US dollars), Libya (0.74 US dollars), Tanzania (0.75 US dollars), Mauritius (0.75 US dollars), Nigeria (0.88 US dollars), Cameroon (0.90 US dollars) and Senegal (0.94 US Dollars).
The report, which featured more than 230 countries across 12 regions and compared the cost of 1GB from over 6,000 mobile data plans, also pointed out that North Africa (at an average of 1.53 dollars) has the cheapest data plans in the world.
Algeria (16), Libya (30) and Morocco (45) are in the World’s top 50 while Egypt (55) Tunisia (59) and Mauritania feature in the top 100 global list.
However, Egypt (1.04 dollars), Tunisia (1.09 dollars) and Mauritania (5.56 dollars) charge more than a dollar for 1GB of data.
Kenya and South Africa, with advanced mobile infrastructure and high internet traffic, fall far behind the top 100 list, with charges of 2.25 dollars and 2.67 dollars per gigabyte of data respectively
The cost of data in these two countries, however, is cheaper than the global average of 4.07 dollars.
According to the report, South Africa and Kenya are considered competitive mobile markets with the prices of these ‘wealthy nations’ not necessarily considered expensive by customers.
“Many countries in the middle of the list have good infrastructure and competitive mobile markets, and while their prices aren’t among the cheapest in the world they wouldn’t necessarily be considered expensive by its consumers,” says the report.
South Africa and Kenya have rolled out commercial 5G networks in their markets.
This ultra-high-speed internet, though still in its infancy, is billed to have the potential to drive unprecedented and inclusive mobile data growth across the continent.
Sources :STARView attachment 1933398
Mkitaka kuwin mind za watu acheni propaganda za kipuuziKasi ya Mama inawapa kiwewe 🤣🤣🤣
wenzetu mitandai iko poa pia,lakini kwetu utapata gb1 mtandao chengaaaWasalaam Watanzania wenzangu,
Nchi yetu imetajwa kwenye orodha ya nchi kumi zenye gharama ndogo kwenye kununua GB1 ya internet barani Africa kwa tathmini iliyofanywa mwezi uliopita.
Bei ya juu ya kununua GB1 kwa Tanzania ni US$ 0.75 karibu sawa na Tshs 1,650 japokuwa mitandao mingi bei ya GB1 ni Wastani wa Tshs 1,000.
Wakati huohuo Sisi tunanunua GB1 kwa " Buku " wenzetu wa Mauritania wao wananunua GB1 kwa US$ 5.56 karibu Tshs 13,000 za Kitanzania,Maana yake ukienda na Tshs elfu 13 za kununua GB13 Tanzania Mauritania jiandae kununua GB1 tu, Nadhani mmeelewa kwa kiasi gani Mama Samia anatupenda watu wake.
Sio huko tu, hata majirani zetu na marafiki zetu wa kibiashara wa muda mrefu Kenya wao wananunua GB1 kwa zaidi ya Tshs 5,000 au US$ 2.25 kwa lugha nyepesi Mkenya akiweka GB 1 kwenye simu|Mtanzania ataweka GB 5 kwa kiwango hichohicho cha Pesa na hii ndio dhana ya Mama Samia katika kuwajali na kuwathamini wanyonge kwani anatambua zaidi ya watu 30M wanatumia internet kwa maana ya kuwa na Simu Janja|Smartphone na wanazitumia kibiashara yaani e-business.
Viva Tanzania | Viva Samia | Viva CCM
________________________________
Read the following story on The Star, Kenya: "The top 10 African countries with the cheapest internet data plans" — The top 10 African countries with the cheapest internet data plans
👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿
The top 10 African countries with the cheapest internet data plans
__________________________________
Millions of Africans accessing mobile data at some of the lowest prices in the world.
In Summary
______________
• Kenya and South Africa, with advanced mobile infrastructure and high internet traffic, fall far behind the list, with charges of 2.25 dollars and 2.67 dollars per gigabyte of data respectively.
• The cost of mobile internet in Sudan is 27 US cents (0.27 US dollars) for every gigabyte of data.
BY CONRAD ONYANGO FOR BIRD
Africa.
10 September 2021 - 11:43
_________________________
Sudan leads nine other African countries that charge its citizens less than a dollar for a gigabyte (1 GB) of mobile data, a report by British technology research firm Cable shows.
The Northeastern Africa nation offers the lowest cost of internet access over a smartphone anywhere in Africa and ranks among the top five cheapest countries for mobile data, in the world, according to the Worldwide Mobile Data Pricing 2021.
The cost of mobile internet in Sudan is 27 US cents (0.27 US dollars) for every gigabyte of data.
The result is that access to the internet has become ubiquitous in many of the densely populated areas across the enormous country.
Citizens in Sudan "rely heavily on mobile data as the primary means to keep its populace connected to the rest of the world,” says the report.
Algeria is second-cheapest at 0.51 dollars, while Somalia takes the third-cheapest slot on the continent, at 0.60 dollars.
Consumer telecoms analyst at Cable, Dan Howdle, said countries with the cheapest rates of mobile data have excellent mobile and fixed broadband infrastructure, making it easier for service providers in those markets to be able to offer large amounts of data, which brings down the price per gigabyte.
“Others with less advanced broadband networks are heavily reliant on mobile data and the economy dictates that prices must be low, as that’s what people can afford,” said Howdle in the report.
Sudan, with a population of more than 45 million and at least 13 million internet subscribers is at par with Italy (0.27 US dollars), but trails Israel (0.05 US dollars, or 5 US cents), Kyrgyzstan (0.15 US dollars) and Fiji (0.19 US dollars), in the global ranking.
Other African countries that charge mobile internet subscribers less than a dollar to browse the web and run mobile apps are Ghana (0.66 US dollars), Libya (0.74 US dollars), Tanzania (0.75 US dollars), Mauritius (0.75 US dollars), Nigeria (0.88 US dollars), Cameroon (0.90 US dollars) and Senegal (0.94 US Dollars).
The report, which featured more than 230 countries across 12 regions and compared the cost of 1GB from over 6,000 mobile data plans, also pointed out that North Africa (at an average of 1.53 dollars) has the cheapest data plans in the world.
Algeria (16), Libya (30) and Morocco (45) are in the World’s top 50 while Egypt (55) Tunisia (59) and Mauritania feature in the top 100 global list.
However, Egypt (1.04 dollars), Tunisia (1.09 dollars) and Mauritania (5.56 dollars) charge more than a dollar for 1GB of data.
Kenya and South Africa, with advanced mobile infrastructure and high internet traffic, fall far behind the top 100 list, with charges of 2.25 dollars and 2.67 dollars per gigabyte of data respectively
The cost of data in these two countries, however, is cheaper than the global average of 4.07 dollars.
According to the report, South Africa and Kenya are considered competitive mobile markets with the prices of these ‘wealthy nations’ not necessarily considered expensive by customers.
“Many countries in the middle of the list have good infrastructure and competitive mobile markets, and while their prices aren’t among the cheapest in the world they wouldn’t necessarily be considered expensive by its consumers,” says the report.
South Africa and Kenya have rolled out commercial 5G networks in their markets.
This ultra-high-speed internet, though still in its infancy, is billed to have the potential to drive unprecedented and inclusive mobile data growth across the continent.
Sources :STARView attachment 1933398
Hizi Bei zipo miaka mingi, zaidi ni zimeongezeka kidogo kipindi cha huyu mama. Hasa voda.Mama yuko makini ondoa shaka,