Fursa Pesa
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 4,631
- 3,527
Sijaelewa umamanisha nini?
[emoji1][emoji1][emoji1] Kwahivyo msaada wa hela za kununua madawati na madawa, kutoka kwa mabwana zenu mabeberu ni sawa na ufadhili ambao Sportpesa huwa wanawapa Yanga na Simba? Itabidi basi watz wote muanze kuvaa jezi ambazo zimeandikwa kwa mbele, Mabeberu Ltd, 'Educating Dona Kantri, Since 1961'.Ujue kutofautisha ufadhili na msaada
Hata Libya walisaidiwa na hao wakubwa kumtoa Ghadaffi matokeo yake leo yanaonekana.Nimeandika hii kama utani, lakini namaanisha kuwa watusaidie kuwatoa madarakani kwani mfumo wa kura unakuwa mgumu maana wao wanatumia dola kupora kura.
Acha porojo pumbav mmojaHivi unafahamu kwamba Kenya inafadhili bajeti yake kwa 95%? Tz- 55%, 45% misaada. Hebu leta takwimu ya hela zote za misaada ambazo zinazopokewa na nchi za A.M. kutoka nchi zote sio US tu, UK, Sweden, France, Germany etc, etc.
Trump na Republican wana pinga ushoga acha kukariri maisha na ujingaYaani Marekani sijui inajionaje yani, akitaka kukukomoa ana kuwekea vikwazo
Ushoga kwetu ni mwiko tena bora wawape mashoga wa Tanzania Visa wakaishi Marekani, hali ni mbaya mtaani watoto wa shule za msingi wana lawitiana kwenye vyoo vya shule huku mashuleni, tusichukulie poa kabisa... Miaka ishirini ijayo sijui hali itakuwaje
Kunyimwa kuingia Marekani ni uonevu??umoja sasa lazima uwe sauti moja ili kuzuia huu uonevu ambao umekuwa wa nenda rudi kila uchao kana kwamba hatuna Viongozi
Acha ushamba ndugu, unamjua trumpet wewe!Hatutaki mashoga, sauti ya RC kimbelembele ilisikika. Tumezuia line za watu na vitambulisho vya taifa, kazi bure bado kuna majanga. Mawaziri wetu ni wapenda mipasho tu, sawa kabisa.
Hatuwakagui kiundani wanaosafiri kwenda USA, bado majangiri wanapitisha mengi. Uzamiaji. Nchi yetu ina wa ile dini... wengi.
Umeona hayoUminyaji Demokrasia, kuwatesa wapinzani uchakachuaji kwenye chaguzi zote
Sportpesa sio wafadhili,sportpesa ni wadhamini wa simba na yanga[emoji1][emoji1][emoji1] Kwahivyo msaada wa hela za kununua madawati na madawa, kutoka kwa mabwana zenu mabeberu ni sawa na ufadhili ambao Sportpesa huwa wanawapa Yanga na Simba? Itabidi basi watz wote muanze kuvaa jezi ambazo zimeandikwa kwa mbele, Mabeberu Ltd, 'Educating Dona Kantri, Since 1961'.
Unaumwa. Ila acha yaishie hapo maanake nyinyi watu wa ID mbili mbili huwa mna matatizo ya ajabu ajabu.Sportpesa sio wafadhili,sportpesa ni wadhamini wa simba na yanga Ni vizuri pia ukijua tofauti ya ufadhili na udhamini
Unasema hivyo kwa sababu wanaokuhusu hawajaguswa ukaona uchungu na maumivu.Hata Libya walisaidiwa na hao wakubwa kumtoa Ghadaffi matokeo yake leo yanaonekana.
Syria pia mwanzoni walisaidiwa kumg'oa Assad matokeo yake nchi imeharibika na Assad yupo bado.
Hatujafika huko pa kusaidiwa maana nchi yetu ni salama Sana. Usiruhusu siasa zikupofushe.
Statistically, Watanzania wachache sana wanakuja USA kwa mwaka. Kama hiyo ingekuwa sababu, nchi zenye watu wengi wanaokuja USA zingejaza list hii.
Serikali ya Marekani hawana rekodi za watu wanao overstay visa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hili nakataa hoja yako mkuuNamba kubwa ya vijana wa Tanzania inajiingiza ISIS, Al-Shabab ect. Yote haya yanasababishwa na kukosa ajira.
Kuwekeza katika nguvu kazi ya vijana ni muhimu.