Fursa Pesa
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 4,631
- 3,527
Sijaelewa umamanisha nini?
Anyway siko hivyo unataka niwe,nami sio mfuasi wa Chama chochote cha siasa.
Ni mtanzania huru,maelekezo ya Ndugu Bashiru ni kwa wafuasi wa Chama chake.
Nanyi kama kuna maelekezo ya Chama chenu myafuate.