awamu ya utemi utemi.Nchi hii inakuwa kwenye spotlight for all the wrong reasons!
Awamu hii mambo ya diplomasia imefeli sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
awamu ya utemi utemi.Nchi hii inakuwa kwenye spotlight for all the wrong reasons!
Awamu hii mambo ya diplomasia imefeli sana!
Wapi zaidi ya kwenda kupiga picha tu na Trump na kutoa mimacho hakuna kitu!Si ilwahi kutoka habari kwamba Trump anampongeza jiwe?
Acheni kuhofia sana. Mimi naishi USA, najua sababu kwa nini hili linaweza tokea. Lakini sababu sitaisema sasa hivi kutokana na kwamba bado haijawa official.
Manake USA govt inafikiria kuiweka Tanzania katika nchi hizo, lakini bado hilo halijafanyika na INAWEZEKANA LISIFANYIKE. Kama likifanyika officially, tutakutana tena na nitasema sababu.
Upinzani maana yake nini?kwanza Tanzania hakuna upinzani hata marekani analijua hilo ,kuna waganga njaaa tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni hivyo kwa nini Kenya haijawahi kuwekwa kwenye hiyo list wakati kenya ni hatari zaidi na wanashambuliwa na magaidi mara kwa mara ..Acha ramli,mbona sababu imeelezwa hapo kuwa ni juu ya harakati za kuoambana na ugaidi wewe unakuja na nyimbo zako za demokrasia,wapinzani bwana kwenu ninyi demokrasia ni kuachwa huru mtukane matusi watu ? Eti uminywaji wa demokrasia
Sent using Jamii Forums mobile app
Namba kubwa ya vijana wa Tanzania inajiingiza ISIS, Al-Shabab ect. Yote haya yanasababishwa na kukosa ajira.
Kuwekeza katika nguvu kazi ya vijana ni muhimu.
[Sidhani
Nimezitaja mkuu. Kuna posts nyingine baada ya hii naamini utaziona. 🤝 🤝Kuwa huru, zitaje tu mkuu utuelimishe na wengine
Wapi zaidi ya kwenda kupiga picha tu na Trump na kutoa mimacho hakuna kitu!
Kabla ya kutuwekea wote vikwazo wangeanza na familia za wasababishi wasiruhusiwe kuingia ulaya walla marekani wengine hatuna hatia
Ni roho ya uuwaji i ndani mwao thus wanaungana na magaidi na si ishu ya ukosefu Wa ajira.Kumbuka magaidi awapiganii dini bali maslai ya kidunia kwa kujifichia kwenye mgongo Wa dini kupitia dini kule ndo rahisi kuwapata waliovurugwa kiakiliKukosa ajira sio sababu ya kuwa gaidi
Wana ma engineer, madokta wameacha kazi nzuri tu kwa ajili ya kwenda kuua
Sababu kubwa ni kukataa ushoga...
Kama ni hivyo kwa nini Kenya haijawahi kuwekwa kwenye hiyo list wakati kenya ni hatari zaidi na wanashambuliwa na magaidi mara kwa mara ..
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ni sasa unamuuliza hayo? Mie au haoRubbish kun uhusiano vip n Visa???????
Diplomatic passports hazizuiliwi? Nani kakudanganya? Wakiweka zuio tena hao ndio wana hali mbaya zaidiTatizo ni kwamba hii ban itawaathiri waminywaji na sio waminyaji wa demokrasia. Wenye mamlaka wao wana diplomatic passport visa zao wala hazitakataliwa....tutakao onja joto ya jiwe ni wewe na mimi na mipassport yetu ya buluuuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni warning sign kuwa miradi ya misaada kama vile zile ARV na mingine inaweza kuwa mashakani sasa.
Mimi nilikuwa na wazo kwann USA na UN wasibuni technology zitakazoweza washambulia wababe Wa kivita,wakuu Wa ugaidi,madikteta kupitia drones mfano Wa nzi,mbu,nk ili ziwadunge ni heri mmoja afe ili kuiokoa dunia na gharama za kuhudumia wakimbizi watokanao na vita au umasikini unaosababishwa na wachache au mtu aliyekosa malezi bora utotoni baada ya mzazi kuzembea kwenye malezi.