Tanzania yatajwa kwenye orodha ya nchi zitakazopigwa Ban kuingia Marekani mara tu Trump atakapoapishwa!

Tanzania yatajwa kwenye orodha ya nchi zitakazopigwa Ban kuingia Marekani mara tu Trump atakapoapishwa!

Hujui kitu kimoja, wao wnatuhitaji zaidi kuliko tunavyowahitaji. Ukikataa mkopo wao kama Gadafi alivyokuwa akifanya ni dhambi kubwa na utatoka tu. Hujui jinsi wao wanavyofaidika kwa nchi yako kwenda kukopa kwao.

Kalaga baho!
Wakuhitaji kwa kipi mkuu? Nambie maeneo hata matatu tu

Tumeshindwa kuendesha mradi tu wa mwendokasi unasema jamaa wanakuhitaji, kujisimamia mradi kama kivuko pale kigamboni tumeshindwa tunalia lia msaada Bakhresa aingie, huwezi kuwa serious mkuu
 
Wakuu,

Nadhani kutokana na mambo yanayoendelea nchini image ya taifa imezidi kuchafuka.

Hivi karibuni nimekutana na listi ambayo inaonesha orodha ya nchi ambazo zinaweza kupigwa ban kuingia Marekani iwapo bwana Trump ataapishwa and yes Tanzania tumo.

List hiyo imetolewa na Cornel University, chuo kilichoanzishwa mwaka 1865 na katika bandiko lao wameonesha orodha ya nchi ambazo iwapo Trump ataingia basi kuingia Marekani itakuwa ni ndoto.

Katika orodha hiyo, Tanzania tumewekwa kwenye kundi moja na Kyrgyzstan, Nigeria, Myanmar, Sudan, Tanzania, Iran, Libya, North Korea, Syria, Venezuela, Yemen, and Somalia.

Hivi kweli leo sisi ni wa kuwekwa kwenye kundi moja na Myanmar, Sudan na North Korea?

Ile Royal Tour ilikuwa na kazi gani kama hata image ya nchi haijasafishika na mambo yako vile vile kama 2017?
Kama vp waanze kupigwa hyo ban mapema 😁😁😁😁Sasa sisi tunaoishi kazuramimba inatuusu nn
 
Kwani tusipoenda marekani tutakufa?
Hii ndio inawapa jeuri hao wazungu kuona kuwa bila wao si hatuwezi.
Sasa wewe mjinga, hivi unajua kuwa huyo USA na washirika wake, wakitaka hata hizi chatting hatutaweza kufanya? Hakunacha Mpesa wala halopesa, naBoeingzetu zaweza zisiruke! Sisi siyo Russia wala Iran, hatuna uwezo wa kuhimilo hata vikwazovya miezi miwili. Nenda Zimbabwe ukaone ninsi walimu wa vyuo, Sekondari, manesi na wachumi, walivyoishia kuwa wahudumu wa hotel na taxi drivers huko South Afrika..
 
WhatsApp, YouTube, Google
Pepsi, Coca-Cola
Visa card, Mastercard
Music, Movies
Vitabu
Hahaha haaa! Chandy tukanunue marekani,
Badala ya mastercard tutatumia Eurocard. Pepsi na coca acha ziondoke. Mziki tena na movies? Hahahaaa, waliokwenda kwa P. Diddy habari zao umezisikia. Walijipiga ban wenyewe kabla ya Trump kuapishwa.
 
Mkuu wale jamaa wa ubalozi washasoma mindset za waafrika hasa watanzania.

Yani kama mtu hana travel history yeyote, Au ana travel history ya nchi zetu hizi za hapahapa Afrika, Wana assume ni mzamiaji...😄

Halafu wewe sasa ndio unatakiwa ujitetee kwamba utakwenda na kurudi.
Naam,

Na yule dada yangu bila kujua alipowaambia nirudishieni pasipoti yangu, sitaki maswali yenu pomoni, safari yenyewe ni ya kusalimia ndugu zangu tu si ya muhimu hivyo, aliwaonesha kuwa hana shida sana ya kwenda Marekani, haombelezi visa kihivyo, na hilo lilisaidia kumfanya aonekane kuwa hana shida ya kuzamia Marekani, wakampa.

Inabidi tujue hiyo saikolojia ya "kama mbwai mbwai tu".
 
Huelewi, halafu wewe si mlengwa. Hujui ànamaanisha nini, wewe na ukoo wako hakuna hata mmoja anahitaji kwenda USA.
Poleni msioweza kuishi bila kwenda Marekani, kwani kwenu Oxygen iko marekani tu. Hivi unadiriki vipi kutoa kauli hiyo. Poleni.
 
Sasa wewe mjinga, hivi unajua kuwa huyo USA na washirika wake, wakitaka hata hizi chatting hatutaweza kufanya? Hakunacha Mpesa wala halopesa, naBoeingzetu zaweza zisiruke! Sisi siyo Russia wala Iran, hatuna uwezo wa kuhimilo hata vikwazovya miezi miwili. Nenda Zimbabwe ukaone ninsi walimu wa vyuo, Sekondari, manesi na wachumi, walivyoishia kuwa wahudumu wa hotel na taxi drivers huko South Afrika..
Kwani sasa hivi Tanzania hakuna walimu na Manesi amabao wanahudumu hotelini? Uko wapi bwasheee. Acha kutisha watu. Maisha ni maisha tu.
 
Wakuu,

Nadhani kutokana na mambo yanayoendelea nchini image ya taifa imezidi kuchafuka.

Hivi karibuni nimekutana na listi ambayo inaonesha orodha ya nchi ambazo zinaweza kupigwa ban kuingia Marekani iwapo bwana Trump ataapishwa and yes Tanzania tumo.

List hiyo imetolewa na Cornel University, chuo kilichoanzishwa mwaka 1865 na katika bandiko lao wameonesha orodha ya nchi ambazo iwapo Trump ataingia basi kuingia Marekani itakuwa ni ndoto.

Katika orodha hiyo, Tanzania tumewekwa kwenye kundi moja na Kyrgyzstan, Nigeria, Myanmar, Sudan, Tanzania, Iran, Libya, North Korea, Syria, Venezuela, Yemen, and Somalia.

Hivi kweli leo sisi ni wa kuwekwa kwenye kundi moja na Myanmar, Sudan na North Korea?

Ile Royal Tour ilikuwa na kazi gani kama hata image ya nchi haijasafishika na mambo yako vile vile kama 2017?
Kwa iyo Uganda, Iraq, Pakistan, Congo wanaruhusiwa kwenda
 
Sasa wewe mjinga, hivi unajua kuwa huyo USA na washirika wake, wakitaka hata hizi chatting hatutaweza kufanya? Hakunacha Mpesa wala halopesa, naBoeingzetu zaweza zisiruke! Sisi siyo Russia wala Iran, hatuna uwezo wa kuhimilo hata vikwazovya miezi miwili. Nenda Zimbabwe ukaone ninsi walimu wa vyuo, Sekondari, manesi na wachumi, walivyoishia kuwa wahudumu wa hotel na taxi drivers huko South Afrika..
Mkuu,

Dunia inaanza kujipanga kuendelea bila ya kuhitaji ushirikiano wa serikali ya Marekani.

European Union washaanza mkakati wa kujipanga kuendelea bila ushirikiano na US.

COP-29 wiki iliyopita wamemaliza mkutano Baku Azerbaijan watu wengi wanasema wanajipanga kufikia malengo yao ya mazingira bila ushirikiano na US.

Rais William Ruto alishaanza kitambo kuonya nchi za Africa zisitegemee sana dola ya Marekani kwenye biashara za kimataifa kwani Marekani inaitumia dola kama silaha ya kisiasa na inapata unfair advantage kwenye biashara za kimataifa zinazotumia dollar (settlement inafanyika downown New York, dola inapanda thamani bila sababu). Ruto kasema sana Afrika ifanye biashara bila kutumia US dollar, tayari tuna settlement system ipo Addis Ababa inaitwa Pan-African Payment and Settlement System. Tatizo ni kupata support ya kutosha tu.

Huko kwenye internet dunia inaweza kujipanga bila Marekani, Putin alishaanza kujipanga kutumia servers/routers zake za Russia tu. Hakuna sababu malipo ya M-Pesa au NALA kutoka Europe kwenda Tanzania yategemee mifumo ya Marekani. Hakuna sababu technical malipo ya M-Pesa ya ndani ya Tanzania yategemee servers zilizopo nje ya Tanzania.

Africa nayo inatakiwa kuanza kujipanga leo mpaka dawa za kufubaza HIV ni kwa hisani ya watu wa Marekani, Trump akija na kusema tunakata misaada kwa shithole countries hizi itakuwaje?
 
Wakuhitaji kwa kipi mkuu? Nambie maeneo hata matatu tu

Tumeshindwa kuendesha mradi tu wa mwendokasi unasema jamaa wanakuhitaji, kujisimamia mradi kama kivuko pale kigamboni tumeshindwa tunalia lia msaada Bakhresa aingie, huwezi kuwa serious mkuu
Mjomba ndio tunakwenda hivyo. Ukishindwa kivuko, pita darajani acha kulia lia.
Dawa ya mwendo kasi ipo njiani, lakini kamwe haitwi Mmarekani kuendesha mwendo kasi. Hata kujenga hatukumwita- Tukasepa Uturuki na China. Hizi ndio habari za mjini.

Wewe zubaa na mmarekani, hana kitu zaidi ya hila tu. Kalaga baho!
 
Wakuu,

Nadhani kutokana na mambo yanayoendelea nchini image ya taifa imezidi kuchafuka.

Hivi karibuni nimekutana na listi ambayo inaonesha orodha ya nchi ambazo zinaweza kupigwa ban kuingia Marekani iwapo bwana Trump ataapishwa and yes Tanzania tumo.

List hiyo imetolewa na Cornel University, chuo kilichoanzishwa mwaka 1865 na katika bandiko lao wameonesha orodha ya nchi ambazo iwapo Trump ataingia basi kuingia Marekani itakuwa ni ndoto.

Katika orodha hiyo, Tanzania tumewekwa kwenye kundi moja na Kyrgyzstan, Nigeria, Myanmar, Sudan, Tanzania, Iran, Libya, North Korea, Syria, Venezuela, Yemen, and Somalia.

Hivi kweli leo sisi ni wa kuwekwa kwenye kundi moja na Myanmar, Sudan na North Korea?

Ile Royal Tour ilikuwa na kazi gani kama hata image ya nchi haijasafishika na mambo yako vile vile
Mzee wa kifua kipana lazima aingizwe kwenye list
 
Mjomba ndio tunakwenda hivyo. Ukishindwa kivuko, pita darajani acha kulia lia.
Dawa ya mwendo kasi ipo njiani, lakini kamwe haitwi Mmarekani kuendesha mwendo kasi. Hata kujenga hatukumwita- Tukasepa Uturuki na China. Hizi ndio habari za mjini.

Wewe zubaa na mmarekani, hana kitu zaidi ya hila tu. Kalaga baho!
Wasted sperm.
 
Wakuu,

Nadhani kutokana na mambo yanayoendelea nchini image ya taifa imezidi kuchafuka.

Hivi karibuni nimekutana na listi ambayo inaonesha orodha ya nchi ambazo zinaweza kupigwa ban kuingia Marekani iwapo bwana Trump ataapishwa and yes Tanzania tumo.

List hiyo imetolewa na Cornel University, chuo kilichoanzishwa mwaka 1865 na katika bandiko lao wameonesha orodha ya nchi ambazo iwapo Trump ataingia basi kuingia Marekani itakuwa ni ndoto.

Katika orodha hiyo, Tanzania tumewekwa kwenye kundi moja na Kyrgyzstan, Nigeria, Myanmar, Sudan, Tanzania, Iran, Libya, North Korea, Syria, Venezuela, Yemen, and Somalia.

Hivi kweli leo sisi ni wa kuwekwa kwenye kundi moja na Myanmar, Sudan na North Korea?

Ile Royal Tour ilikuwa na kazi gani kama hata image ya nchi haijasafishika na mambo yako vile vile kama 2017?
Kwani image ya taifa inasafishwa na nini?🤔
 
Kwanza kabisa hawa wanapiga ramli kusema hili linaweza kutokea kwa sababu lilitokea Trump alipokuwa rais.

Trump mwenyewe hajasema kitu.

But let us entertain this "what if?" game. Wasiwasi ndiyo akili, lakini wasiwasi sana siyo dili.

Pili, Trump akifanya hivyo, nitawashukuru wale Watanzania-Wamarekani waliojitoa akili na kumpigia kura. Niliwaambia huyu mwehu hatabiriki si mtu wa kumpa nuclear codes.

Tatu, Watanzania wanatakiwa kuacha kupashobokea Marekani kama mbinguni.

Trump akipiga ban Tanzania na nyie Tanzania pigeni ban Wamarekani wasiingie Tanzania. Najua mnapenda hela zao za utalii, lakini jitoeni akili muongeze Wachina na wazungu wa Ulaya, halafu tuone kama mtakufa. Mkifanya hivyo Wamarekani wote wanaotaka kuja Serengeti, Kilimanjaro, Zanzibar na Selous watamuwashia moto Trump. Pigeni mpaka sisi ndugu zenu wenye uraia wa Marekani tusiingie Bongo, halafu angalieni wale watu wa mashauzi ya kuja Bongo mara nne kwa mwaka watakavyochakalika kumfanya Trump aondoe hiyo ban.

Diplomacy is driven by reciprocity.
Hii ni sarcasm? Kama sio utakuwa unataka kuponza watu wewe, hatujafikia kiwango cha kuwekeana misuli na beberu US, cheki Venezuela alivyonyooshwa na utajiri wake wote wa mafuta, sisi hata hatuna leverage ya maana kwa US, tena sio kwa mwehu Trump. Simba, Swala, tumbili n.k wanapatikana sehemu nyingi sana duniani.
 
Well asia in large part ni manufacturer (japo si wote) , ila anaetuma hizo kazi kuwa manufactured ni mzungu, pesa inarudi kwa mzungu kwa asilimia kubwa somehow.

Tusipojiimarisha tutaendelea kufanyiwa vituko day and night
Akili yako inafanya kazi ...
 
Back
Top Bottom