Tanzania yatajwa kwenye orodha ya nchi zitakazopigwa Ban kuingia Marekani mara tu Trump atakapoapishwa!

Jiongelee wewe, and for the record almost vitu vingi mnavyotumia today vinatoka kwao,
Mna viwanda au uchumi wa kuwa match?
Vitu gani vingi vya marekani tunavyotumi?..magari ni mitumba ya toyota,mavazi china,simu china,tv china,ugali tunalima wenyewe,dawa india,china
 
Nikuulize swali dogo tu watanzania zaidi ya 90% ambao wanaishi huko vijijini na mijini wakikosa internate , us dollar watalala na njaa?
 
Recall matamko ya mabalozi akiwemo wa US yaliyosemwa kuhusu TZ.
 
Huna akili.wewe unadhani hao WB na IMF hiyo mikopo wanayotupa jumlisha riba tunarudisha kiasi gani ?
 
China has initiated free-trade Policy with 33 African coutries.

initiated-a-free-trade-policy-with-33-african-countries%2F7xxtgvw&utm_campaign=aga&utm_source=agsadl2%2Csh%2Fx%2Fgs%2Fm2%2F4

Hizi ndio habari za mjini: Wewe weka ban, wenzako ndio furaha yao. Tunataka na Urusi, Uturuki, Dubai na India zifanye kama China.
 
Hujui kitu kimoja, wao wnatuhitaji zaidi kuliko tunavyowahitaji. Ukikataa mkopo wao kama Gadafi alivyokuwa akifanya ni dhambi kubwa na utatoka tu. Hujui jinsi wao wanavyofaidika kwa nchi yako kwenda kukopa kwao.

Kalaga baho!
Hilo jamaa lijinga sana linajua hayo mamikopo tunapewa zawadi kumbe Wana survive kupitia hayo mamikopo kwa nchi masikini na zenye uchumi wa kati. Na unalazimishwa ukope na usinunue mashine Wala kujenga kiwanda kanunue kondom ,panda miti, na kutokomeza rushwa. Sasa ole wako ukatae kukopa utaona cha moto
 
Nyie nyumbu kwl ni mapumbavu, hamuoni ht haya kuwa vibaraka wa wazungu? Nyie kwl ni mashoga
Sorry matusi peleka kwingine. Just because nime state facts, it doesnt mean nawapenda wazungu
Punguza hisia kwenye mambo kama haya
 
Hata isipowekewa ban,ningeshangaa nchi ingewezaje kuhama kutoka Mashariki mwa bara la Afrika hadi Marekani.
 
Hivi unaakili timamu kweli wewe? Hizi chatting ndio umeona kitu cha maana sana kwamba Tuna survive kwa chatting? Hizi chatting zimekuja lini na sisi kama nchi tumeanza struggling lini? Kumbe hii nchi Bado Kuna watu wa hovyo sana.
 
NI MABEBERU HAO TUFUKUZE BALOZI WAO HAHAHA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…