Tanzania yatajwa kwenye orodha ya nchi zitakazopigwa Ban kuingia Marekani mara tu Trump atakapoapishwa!

Tanzania yatajwa kwenye orodha ya nchi zitakazopigwa Ban kuingia Marekani mara tu Trump atakapoapishwa!

Wakuu,

Nadhani kutokana na mambo yanayoendelea nchini image ya taifa imezidi kuchafuka.

Hivi karibuni nimekutana na listi ambayo inaonesha orodha ya nchi ambazo zinaweza kupigwa ban kuingia Marekani iwapo bwana Trump ataapishwa and yes Tanzania tumo.

List hiyo imetolewa na Cornel University, chuo kilichoanzishwa mwaka 1865 na katika bandiko lao wameonesha orodha ya nchi ambazo iwapo Trump ataingia basi kuingia Marekani itakuwa ni ndoto.

Katika orodha hiyo, Tanzania tumewekwa kwenye kundi moja na Kyrgyzstan, Nigeria, Myanmar, Sudan, Tanzania, Iran, Libya, North Korea, Syria, Venezuela, Yemen, and Somalia.

Hivi kweli leo sisi ni wa kuwekwa kwenye kundi moja na Myanmar, Sudan na North Korea?

Ile Royal Tour ilikuwa na kazi gani kama hata image ya nchi haijasafishika na mambo yako vile vile kama 2017?
Tunastahili,maana utu tumeutupa kule ila tunathamini ukada.
 
Vitu gani vinavyotoka kwao bwashee! Tuanze na magari.... Ni asilimia ngapi yanatoka marekani? Twende kwenye chakula, Madawa, Mali ghafi katika ujenzi (chuma n.k). Sijui niendelee au niishie hapo.

Akitupiga ban Mjapani, mchina, India na Uturuki ningesema tumekwisha, lakini Marekani ahhhhh!
Kwanza MRUSI atafurahi sana na hiyo ban, maana ni advantage kwake.

Tutachokosa Tanzania toka marekani ni Coca, Pepsi na McDonald. Hii inamaanisha watatusaidia kuimarisha Afya zetu. Ugonjwa wa sukari utapungua.

Ndugu, mmarekani hana Jeuri sana kama zamani, siku hizi Tech imekuwa sana katika nchi nyingi.
Hizo ARV mnazogawiwa bure mahospitalini wakikata hudumu si mtapukutika kama kuku wenye kideri.
 
Huna akili.wewe unadhani hao WB na IMF hiyo mikopo wanayotupa jumlisha riba tunarudisha kiasi gani ?
Nyie ndio hamna akili ambao mmeshindwa kutumia rasilimali zenu hadi viongozi wenu wanahangaika kutafuta mikopo na misaada.

Kwani hao WB na IMF ndio wanakuja kuwaomba wawakopeshe au ni nyie ndio mnaenda kulia lia njaa kutaka mikopo na misaada?
 
Wakuu,

Nadhani kutokana na mambo yanayoendelea nchini image ya taifa imezidi kuchafuka.

Hivi karibuni nimekutana na listi ambayo inaonesha orodha ya nchi ambazo zinaweza kupigwa ban kuingia Marekani iwapo bwana Trump ataapishwa and yes Tanzania tumo.

List hiyo imetolewa na Cornel University, chuo kilichoanzishwa mwaka 1865 na katika bandiko lao wameonesha orodha ya nchi ambazo iwapo Trump ataingia basi kuingia Marekani itakuwa ni ndoto.

Katika orodha hiyo, Tanzania tumewekwa kwenye kundi moja na Kyrgyzstan, Nigeria, Myanmar, Sudan, Tanzania, Iran, Libya, North Korea, Syria, Venezuela, Yemen, and Somalia.

Hivi kweli leo sisi ni wa kuwekwa kwenye kundi moja na Myanmar, Sudan na North Korea?

Ile Royal Tour ilikuwa na kazi gani kama hata image ya nchi haijasafishika na mambo yako vile vile kama 2017?
Niende Marekani kufanya nn akati hata namtumbo kwenyewe bado cjaenda
 
Well asia in large part ni manufacturer (japo si wote) , ila anaetuma hizo kazi kuwa manufactured ni mzungu, pesa inarudi kwa mzungu kwa asilimia kubwa somehow.

Tusipojiimarisha tutaendelea kufanyiwa vituko day and night
Mwafrika ni mtu wa mdomo mdomo tu. Hatuna jeuri yoyote na hawa wanaopiga porojo hapa sijui kuna China na Asia ni wajinga wasioijua dunia.
 
Afrika ndio Pepo ya wazungu , waarabu na wayahudi . Starehe ipo Africa Kila mwaka wazungu wanatunza fedha ili waje kufurahia maisha afrika. Huko marekani waafrika wanaenda kutafuta maisha tu
Kakudanganya nyani? (siyo nani). Unajua nchi zinazopekea watalii wengi wewe?
 
Back
Top Bottom