Tanzania yatajwa kwenye orodha ya nchi zitakazopigwa Ban kuingia Marekani mara tu Trump atakapoapishwa!

Tanzania yatajwa kwenye orodha ya nchi zitakazopigwa Ban kuingia Marekani mara tu Trump atakapoapishwa!

Old list, plus pure speculation. Things have changed a lot since Trump was last president. The criteria used then to include Tanzania on the list of banned countries may no longer be relevant.
 
Wakuu,

Nadhani kutokana na mambo yanayoendelea nchini image ya taifa imezidi kuchafuka.

Hivi karibuni nimekutana na listi ambayo inaonesha orodha ya nchi ambazo zinaweza kupigwa ban kuingia Marekani iwapo bwana Trump ataapishwa and yes Tanzania tumo.

List hiyo imetolewa na Cornel University, chuo kilichoanzishwa mwaka 1865 na katika bandiko lao wameonesha orodha ya nchi ambazo iwapo Trump ataingia basi kuingia Marekani itakuwa ni ndoto.

Katika orodha hiyo, Tanzania tumewekwa kwenye kundi moja na Kyrgyzstan, Nigeria, Myanmar, Sudan, Tanzania, Iran, Libya, North Korea, Syria, Venezuela, Yemen, and Somalia.

Hivi kweli leo sisi ni wa kuwekwa kwenye kundi moja na Myanmar, Sudan na North Korea?

Ile Royal Tour ilikuwa na kazi gani kama hata image ya nchi haijasafishika na mambo yako vile vile kama 2017?
kama taifa,
hakuna haja wala sababu hata moja ya msingi kulalamika au kubabaika kwenye jambo hilo ikiwa litatokea, Russia pia kuna fursa kibao tu :pulpTRAVOLTA:
 
Kwani tusipoenda marekani tutakufa?

Hii ndio inawapa jeuri hao wazungu kuona kuwa bila wao si hatuwezi.
Beberu anamkalisha hata mchina na mrusi. Hao viumbe sio wa kushindana nao sana. Wako mbele sana ya muda kuliko races zingine duniani.
 
Wakuu,

Nadhani kutokana na mambo yanayoendelea nchini image ya taifa imezidi kuchafuka.

Hivi karibuni nimekutana na listi ambayo inaonesha orodha ya nchi ambazo zinaweza kupigwa ban kuingia Marekani iwapo bwana Trump ataapishwa and yes Tanzania tumo.

List hiyo imetolewa na Cornel University, chuo kilichoanzishwa mwaka 1865 na katika bandiko lao wameonesha orodha ya nchi ambazo iwapo Trump ataingia basi kuingia Marekani itakuwa ni ndoto.

Katika orodha hiyo, Tanzania tumewekwa kwenye kundi moja na Kyrgyzstan, Nigeria, Myanmar, Sudan, Tanzania, Iran, Libya, North Korea, Syria, Venezuela, Yemen, and Somalia.

Hivi kweli leo sisi ni wa kuwekwa kwenye kundi moja na Myanmar, Sudan na North Korea?

Ile Royal Tour ilikuwa na kazi gani kama hata image ya nchi haijasafishika na mambo yako vile vile kama 2017?
Mama effects
 
Kwahiyo wewe hapa duniani umeona nchi ya kutegemea kwa biashara na Kila kitu ni marekani tu.
Nimekuelezea mifumo ya biashara na maisha. Sio uchuuzi huo unaosema
Kwa taarifa Yako sasa biashara ya Tanzania na marekani hazifiki hata 1% sasa kama ulikua hujui.
Ni sarafu gani ya kimataifa tunatumia zaidi duniani?
Tunafanya sana biashara na afrika mashariki middle east, china , Japan na uarabuni kwa uchache kwahiyo hao marekani wajiendee zao tu hakuna mwenye shida nao.
Bado huelewi international business inavyofanyika.
 
Sisi hatutaki kwenda marekani kama wewe unataka hamna nchi utafute uraia wa nchi nyingine ili uende
 
Kwanza kabisa hawa wanapiga ramli kusema hili linaweza kutokea kwa sababu lilitokea Trump alipokuwa rais.

Trump mwenyewe hajasema kitu.

But let us entertain this "what if?" game. Wasiwasi ndiyo akili, lakini wasiwasi sana siyo dili.

Pili, Trump akifanya hivyo, nitawashukuru wale Watanzania-Wamarekani waliojitoa akili na kumpigia kura. Niliwaambia huyu mwehu hatabiriki si mtu wa kumpa nuclear codes.

Tatu, Watanzania wanatakiwa kuacha kupashobokea Marekani kama mbinguni.

Trump akipiga ban Tanzania na nyie Tanzania pigeni ban Wamarekani wasiingie Tanzania. Najua mnapenda hela zao za utalii, lakini jitoeni akili muongeze Wachina na wazungu wa Ulaya, halafu tuone kama mtakufa. Mkifanya hivyo Wamarekani wote wanaotaka kuja Serengeti, Kilimanjaro, Zanzibar na Selous watamuwashia moto Trump. Pigeni mpaka sisi ndugu zenu wenye uraia wa Marekani tusiingie Bongo, halafu angalieni wale watu wa mashauzi ya kuja Bongo mara nne kwa mwaka watakavyochakalika kumfanya Trump aondoe hiyo ban.

Diplomacy is driven by reciprocity.

Trump anaweka jiwe bongo wanaweka ugoko lazima waumie na kulia kilio kitakatifu.
 
Tunapaswa kuwapotezea. Twende nchi nyingine tatizo tumezidi kujipendekeza

Kila mtu duniani ndoto yake ni kufika nchi ya ahadi- USA. Maza mwenyewe nasikia kacheza green card lottery, anamkeka mfukono 😂
 
Trump anaweka jiwe bongo wanaweka ugoko lazima waumie na kulia kilio kitakatifu.
Trump anawafungua macho Watanzania wajitegemee tu, sasa hapo ni juu ya Watanzania kuelewa somo.
 
Back
Top Bottom