Tanzania yawa nchi ya mfano SADC, vijiji vyote kupata umeme mwishoni mwa mwaka huu (2022)

Tanzania yawa nchi ya mfano SADC, vijiji vyote kupata umeme mwishoni mwa mwaka huu (2022)

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617

MY TAKE; Spika wa bunge la Tanzania, amelitaarifu jopo la "speakers" toka nchi za SADC kwamba, ifikapo mwishoni mwa mwaka huu wa 2022, vijiji vyote Tanzania vitakua vimeshaunganishiwa umeme.

Wale watu wenye roho ya kutu na wivu bado wataendelea kushikilia Ile 37% hadi watakapoingia katika majeneza na kuzikwa nayo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

MY TAKE; Spika wa bunge la Tanzania, amelitaarifu jopo la "speakers" toka nchi za SADC kwamba, ifikapo mwishoni mwa mwaka huu wa 2022, vijiji vyote Tanzania vitakua vimeshaunganishiwa umeme.

Wale watu wenye roho ya kutu na wivu bado wataendelea kushikilia Ile 37% hadi watakapoingia katika majeneza na kuzikwa nayo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


😂😂

Taifa la njaa lina safari ndefu sana.
 
VICE President Dr Philip Mpango has witnessed the signing of Memorandum of Understanding (MoU) for the execution of Sino Industrial Park project worth 3 billion US Dollars (equivalent to 6.94tri/-).

The project will become the largest industrial park in the southern part of Africa.


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
VICE President Dr Philip Mpango has witnessed the signing of Memorandum of Understanding (MoU) for the execution of Sino Industrial Park project worth 3 billion US Dollars (equivalent to 6.94tri/-).

The project will become the largest industrial park in the southern part of Africa.


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Good news indeed, mama anaupiga mwingi
 

MY TAKE; Spika wa bunge la Tanzania, amelitaarifu jopo la "speakers" toka nchi za SADC kwamba, ifikapo mwishoni mwa mwaka huu wa 2022, vijiji vyote Tanzania vitakua vimeshaunganishiwa umeme.

Wale watu wenye roho ya kutu na wivu bado wataendelea kushikilia Ile 37% hadi watakapoingia katika majeneza na kuzikwa nayo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Huu ni ujinga. Bado mpo nyuma sana kama mnaongea kuhusu kuunganisha vijiji na umeme. Tuambie mumeunganisha nyumba ngapi na umeme. Hapa Kenya around 80% ya nyumba zote zina umeme.
 

MY TAKE; Spika wa bunge la Tanzania, amelitaarifu jopo la "speakers" toka nchi za SADC kwamba, ifikapo mwishoni mwa mwaka huu wa 2022, vijiji vyote Tanzania vitakua vimeshaunganishiwa umeme.

Wale watu wenye roho ya kutu na wivu bado wataendelea kushikilia Ile 37% hadi watakapoingia katika majeneza na kuzikwa nayo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Siyo SADC tu, AU yote tutakuw mfano.
 
Nyie huwa wajinga sana. 37% electricity access rate yenu ndio mnaturingia? Kenya ina 80% access rate na South Africa ipo zaidi ya 90%. Egypt ipo 100%.

Hiyo 37 umeipata wapi!!?
Maana huu ni mwaka wa 3 unaitaja tu hiyo hiyo.

😄 🤣 😁
 
Huu ni ujinga. Bado mpo nyuma sana kama mnaongea kuhusu kuunganisha vijiji na umeme. Tuambie mumeunganisha nyumba ngapi na umeme. Hapa Kenya around 80% ya nyumba zote zina umeme.
Ifikapo mwisho wa mwaka huu Tanzania itakua ni nchi ya 7 Afrika nzima kufikia "Universal electrification", maana yake ni kwamba hakuna eneo linaloishi watu ambalo litakua halijafikiwa na umeme, kuvuta umeme kuingia katika Nyumba ya mtu ni jukumu na utashi wa mtu binafsi.

Ni sawa na kujenga Dispensaries kila Kijiji ili kufikia "Universal health care", kwenda kupata huduma ni utashi wa mtu binafsi, wengine bado wataendelea kwenda kwa waganga wa kienyeji, kuombewa kwa viongozi wa dini na kujifungua kwa wakunga wa jadi.

Soma ujielimishe kuhusu maana halisi ya " Universal electrification", weka wivu pembeni kidogo[emoji38][emoji38]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 

MY TAKE; Spika wa bunge la Tanzania, amelitaarifu jopo la "speakers" toka nchi za SADC kwamba, ifikapo mwishoni mwa mwaka huu wa 2022, vijiji vyote Tanzania vitakua vimeshaunganishiwa umeme.

Wale watu wenye roho ya kutu na wivu bado wataendelea kushikilia Ile 37% hadi watakapoingia katika majeneza na kuzikwa nayo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Asante sana JPM
 
Ifikapo mwisho wa mwaka huu Tanzania itakua ni nchi ya 7 Afrika nzima kufikia "Universal electrification", maana yake ni kwamba hakuna eneo linaloishi watu ambalo litakua halijafikiwa na umeme, kuvuta umeme kuingia katika Nyumba ya mtu ni jukumu na utashi wa mtu binafsi.

Ni sawa na kujenga Dispensaries kila Kijiji ili kufikia "Universal health care", kwenda kupata huduma ni utashi wa mtu binafsi, wengine bado wataendelea kwenda kwa waganga wa kienyeji, kuombewa kwa viongozi wa dini na kujifungua kwa wakunga wa jadi.

Soma ujielimishe kuhusu maana halisi ya " Universal electrification", weka wivu pembeni kidogo[emoji38][emoji38]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Usiwe mjinga wewe. Universal electrification ina maana kwamba kila nyumba ina umeme sio kila kijiji kina umeme. Unaongea ujinga tu hapa. Kenya nyumba 80% zina umeme. Egypt ni 100%. South Africa ni around 94%. Tanzania ni chini ya chini ya 45%. Kuongea mambo ya vijiji ni ujinga mtupu wakati nchi zingine zinaongea kuhusu idadi ya nyumba zilizounganishwa na umeme. Mnatia kinyaa na aibu kwa kuongea mambo ya idadi ya vijiji vilivyounganishwa na umeme wakati wengine wanaongea kuhusu idadi ya nyumba zilizounganishwa.
 
Usiwe mjinga wewe. Universal electrification ina maana kwamba kila nyumba ina umeme sio kila kijiji kina umeme. Unaongea ujinga tu hapa. Kenya nyumba 80% zina umeme. Egypt ni 100%. South Africa ni around 94%. Tanzania ni chini ya chini ya 45%. Kuongea mambo ya vijiji ni ujinga mtupu wakati nchi zingine zinaongea kuhusu idadi ya nyumba zilizounganishwa na umeme. Mnatia kinyaa na aibu kwa kuongea mambo ya idadi ya vijiji vilivyounganishwa na umeme wakati wengine wanaongea kuhusu idadi ya nyumba zilizounganishwa.
Well put, lakini wanasiasa wa Tanzania kwa kueneza uongo na propaganda they are kings! yaani watanzania wako na ujinga sana, wanadanganywa wazi wazi dunia ya leo 😂 😂 😂 😂
 
Usiwe mjinga wewe. Universal electrification ina maana kwamba kila nyumba ina umeme sio kila kijiji kina umeme. Unaongea ujinga tu hapa. Kenya nyumba 80% zina umeme. Egypt ni 100%. South Africa ni around 94%. Tanzania ni chini ya chini ya 45%. Kuongea mambo ya vijiji ni ujinga mtupu wakati nchi zingine zinaongea kuhusu idadi ya nyumba zilizounganishwa na umeme. Mnatia kinyaa na aibu kwa kuongea mambo ya idadi ya vijiji vilivyounganishwa na umeme wakati wengine wanaongea kuhusu idadi ya nyumba zilizounganishwa.

Bado hujaelewa maana ya universal electrification.
UE means access to power.
 
Usiwe mjinga wewe. Universal electrification ina maana kwamba kila nyumba ina umeme sio kila kijiji kina umeme. Unaongea ujinga tu hapa. Kenya nyumba 80% zina umeme. Egypt ni 100%. South Africa ni around 94%. Tanzania ni chini ya chini ya 45%. Kuongea mambo ya vijiji ni ujinga mtupu wakati nchi zingine zinaongea kuhusu idadi ya nyumba zilizounganishwa na umeme. Mnatia kinyaa na aibu kwa kuongea mambo ya idadi ya vijiji vilivyounganishwa na umeme wakati wengine wanaongea kuhusu idadi ya nyumba zilizounganishwa.
Wewe ni miongoni mwa watu wajinga Sana, hivi hivi ulikua unabisha ukisema kwamba GDP ya nchi ni matokeo ya Pato linaloongezeka kila mwaka, kwamba haitokani na malimbikizo ya miaka ya nyuma, Sasa umekubali kwamba ulikua umekosea.

Jukumu la nchi yoyote duniani sio kuingiza umeme majumbani au viwandani, jukumu ni kupeleka umeme hadi katika maeneo yote ambako umeme unakohitajika, jukumu la kuingiza umeme Nyumbani ni jukumu la mtu au kampuni binafsi, Sasa ukisema serikali imeingiza umeme ndani ya Nyumba za watu, unataka kutuambia kwamba imewalipia, kuwakopesha au imewaingizia umeme Bure?.

Hivi wewe kwa ujinga wako unataka kutudanganya kwamba 80% za Nyumba kule Turkana, Wajir, Marsabiti na Isiolo ambako hata hakuna barabara, maji au hata chakula, Kuna umeme?.hiyo 80% Kama ni kweli, basi ni "Urban electrification coverage", lakini kwa upande wa"rural electrification", bado mpo nyuma Sana.

Punguza ujinga wako Tony, pamoja na uongo wa Jubilee, lakini miongoni mwa sababu za kushindikana kwa mpango wa "Tablet per child" huko Kenya ni kwasababu vijiji vingi havina umeme.

I am 100% sure", Kenya vijijini coverage yenu haijazidi 65%, prove me wrong, weka ushabiki kando, lete data hata za video kutoka kwa kiongozi wa Kenya kuonyesha kwamba zaidi ya 65% ya vijiji vya Kenya vimeshafikiwa na umeme. Huwezi kuunganisha umeme kwa watu vijijini kabla ya huo umeme kufika huko vijijini

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kenya imeunganisha nyumba nyingi na umeme kushinda Lazyland republic.
Not true. Mpaka 2021 tulikua over 80% yaani 10 000 Villages kati ya 12 000 Villages ya watu 60 Million.

Sasa mnapodai eti mmeunganisha nyumba nyingi na umeme dhidi yetu maana yake, mko human population kubwa kutuzidi, you guys are above 60 million ama kuna mahala mnadanganya.

So, which is which hapa?🙄🙄🤔
 
Back
Top Bottom