Tanzania yawa nchi ya mfano SADC, vijiji vyote kupata umeme mwishoni mwa mwaka huu (2022)

Tanzania yawa nchi ya mfano SADC, vijiji vyote kupata umeme mwishoni mwa mwaka huu (2022)

Usiwe mjinga wewe. Universal electrification ina maana kwamba kila nyumba ina umeme sio kila kijiji kina umeme. Unaongea ujinga tu hapa. Kenya nyumba 80% zina umeme. Egypt ni 100%. South Africa ni around 94%. Tanzania ni chini ya chini ya 45%. Kuongea mambo ya vijiji ni ujinga mtupu wakati nchi zingine zinaongea kuhusu idadi ya nyumba zilizounganishwa na umeme. Mnatia kinyaa na aibu kwa kuongea mambo ya idadi ya vijiji vilivyounganishwa na umeme wakati wengine wanaongea kuhusu idadi ya nyumba zilizounganishwa.
Morocco ni 100% wewe "Goigoi". Kuvuta umeme ni utashi wa mtu wewe Huihui, Bundi!

Mtu anaweza amua kutumia Solar or any other acceptable means. Jukumu la Serikali yeyote ni kumletea mwananchi huduma mpaka mlangoni.

Bundi!😏🙄
 
Well put, lakini wanasiasa wa Tanzania kwa kueneza uongo na propaganda they are kings! yaani watanzania wako na ujinga sana, wanadanganywa wazi wazi dunia ya leo 😂 😂 😂 😂
Yaani hata 100% ya vijiji vya Tanzania vikipata umeme hio bado sio universal access rate kwa sababu nyumba nyingi ndani ya hivo vijiji havina umeme. Jamaa hata hajui maana ya neno universal access
 
Usiwe mjinga wewe. Universal electrification ina maana kwamba kila nyumba ina umeme sio kila kijiji kina umeme. Unaongea ujinga tu hapa. Kenya nyumba 80% zina umeme. Egypt ni 100%. South Africa ni around 94%. Tanzania ni chini ya chini ya 45%. Kuongea mambo ya vijiji ni ujinga mtupu wakati nchi zingine zinaongea kuhusu idadi ya nyumba zilizounganishwa na umeme. Mnatia kinyaa na aibu kwa kuongea mambo ya idadi ya vijiji vilivyounganishwa na umeme wakati wengine wanaongea kuhusu idadi ya nyumba zilizounganishwa.
Of course wanafanya ivo kimaksudi ili percentages zikae kubwa na wawapumbaze watanzania wengi ambao ni mabongolala. Hebu we niambie utasemaje umeme umefika kijiji flani as 100% wakati makaazi zaidi ya 60% ndani ya kijiji hicho hayana umeme. I dare mtanzania yeyote alete evidence hapa kuonesha mahali popote duniani ambapo electricity connection inapimwa na number of "villages" connected to electricity
 
Wewe ni miongoni mwa watu wajinga Sana, hivi hivi ulikua unabisha ukisema kwamba GDP ya nchi ni matokeo ya Pato linaloongezeka kila mwaka, kwamba haitokani na malimbikizo ya miaka ya nyuma, Sasa umekubali kwamba ulikua umekosea.

Jukumu la nchi yoyote duniani sio kuingiza umeme majumbani au viwandani, jukumu ni kupeleka umeme hadi katika maeneo yote ambako umeme unakohitajika, jukumu la kuingiza umeme Nyumbani ni jukumu la mtu au kampuni binafsi, Sasa ukisema serikali imeingiza umeme ndani ya Nyumba za watu, unataka kutuambia kwamba imewalipia, kuwakopesha au imewaingizia umeme Bure?.

Hivi wewe kwa ujinga wako unataka kutudanganya kwamba 80% za Nyumba kule Turkana, Wajir, Marsabiti na Isiolo ambako hata hakuna barabara, maji au hata chakula, Kuna umeme?.hiyo 80% Kama ni kweli, basi ni "Urban electrification coverage", lakini kwa upande wa"rural electrification", bado mpo nyuma Sana.

Punguza ujinga wako Tony, pamoja na uongo wa Jubilee, lakini miongoni mwa sababu za kushindikana kwa mpango wa "Tablet per child" huko Kenya ni kwasababu vijiji vingi havina umeme.

I am 100% sure", Kenya vijijini coverage yenu haijazidi 65%, prove me wrong, weka ushabiki kando, lete data hata za video kutoka kwa kiongozi wa Kenya kuonyesha kwamba zaidi ya 65% ya vijiji vya Kenya vimeshafikiwa na umeme. Huwezi kuunganisha umeme kwa watu vijijini kabla ya huo umeme kufika huko vijijini

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Unaona ulivyo na akili ndogo? Mimi sijasema 80% ya nyumba za Turkana zina umeme. Mimi nimesema 80% ya nyumba za Kenya zina umeme. Hio ina maana kwamba maeneo kama Nairobi, zaidi ya 97% ya majumba yana umeme. Vile vile Mombasa, Nakuru, Kisumu zaidi ya 90% ya majumba yana umeme. Ila kuna maeneo kame ya Kenya ambako population yao ni ndogo na huko ndiko access to electricity ipo chini. Nyumba 8 million za Kenya zipo connected to electricity wakati nyumba 2.7 million za Tanzania zipo connected to electricity.
 
Yaani hata 100% ya vijiji vya Tanzania vikipata umeme hio bado sio universal access kwa sababu nyumba nyingi ndani ya hivo vijiji havina umeme. Jamaa hata hajui maana ya neno universal access
Tupe definition ya universal access unavoijua wewe ili tuamue kesi .
 
Not true. Mpaka 2021 tulikua over 80% yaani 10 000 Villages kati ya 12 000 Villages ya watu 60 Million.

Sasa mnapodai eti mmeunganisha nyumba nyingi na umeme dhidi yetu maana yake, mko human population kubwa kutuzidi, you guys are above 60 million ama kuna mahala mnadanganya.

So, which is which hapa?🙄🙄🤔
Mzee wacha kusumbua watu na mambo ya villages hapa. Mimi naongea kuhusu idadi ya nyumba zilizokuwa connected to electricity. Nyumba 8 million za Kenya zipo connected to electricity wakati nyumba 2.7 million pekee za Tanzania ndio zipo connected to electricity.
 
Tupe definition ya universal access unavoijua wewe ili tuamue kesi .
Idadi ya nyumba zilizokuwa connected to electricity. Sio huo upuuzi wenu wa kuhesabu vijiji. Sasa ikiwa kijiji kina transformer lakini wana kijiji hawana pesa ya kuunganisha umeme kwa nyumba zao sasa utasemaje kwamba kijiji hicho kina umeme? Mpo retarded sana.
 
Bado hujaelewa maana ya universal electrification.
UE means access to power.
Tupe definition ya universal access unavoijua wewe ili tuamue kesi .
Soma hii article ya World Bank utaelewa maana ya neno "universal access to electricity". Unastahili kuhesabu idadi ya nyumba ambazo zina umeme sio idadi ya vijiji

 
Of course wanafanya ivo kimaksudi ili percentages zikae kubwa na wawapumbaze watanzania wengi ambao ni mabongolala. Hebu we niambie utasemaje umeme umefika kijiji flani as 100% wakati makaazi zaidi ya 60% ndani ya kijiji hicho hayana umeme. I dare mtanzania yeyote alete evidence hapa kuonesha mahali popote duniani ambapo electricity connection inapimwa na number of "villages" connected to electricity

Kwa hiyo unataka kuniambia serikali ya kenya kazi yake kubwa ni kupita kwenye nyumba za watu na kufanya wiring na kuweka mita!!?

Unaongea kitu ambacho hakipo kabisa. Maana huduma zote za jamii haziingizwi ndani ya kiwanja au shamba la mtu. Hata kwenye miradi inayoitwa site n services public utilities mains zinaishia mpakani mwa eneo lako. Hakuna serikali inayowapa wananchi wake huduma mpaka ndani.
 
Hawa wanavijua vijiji vya Tz au wamezaliwa town halafu wanafananisha vijiji na mitaa ya mjini. Waweke mikakati ya kufkia 50% Kwanza ndo wajadili kuhusu vijiji.
 
Kwa hiyo unataka kuniambia serikali ya kenya kazi yake kubwa ni kupita kwenye nyumba za watu na kufanya wiring na kuweka mita!!?

Unaongea kitu ambacho hakipo kabisa. Maana huduma zote za jamii haziingizwi ndani ya kiwanja au shamba la mtu. Hata kwenye miradi inayoitwa site n services public utilities mains zinaishia mpakani mwa eneo lako. Hakuna serikali inayowapa wananchi wake huduma mpaka ndani.
Yes, kuna mradi wa serikali wa last mile inaangusha umeme kwenye low income houses zisizokuwa na uwezo kugaramikia connection fees na wiring. Unawekewa meter na vitu basic kama taa na socket na hulipii chochote
FB_IMG_16578023577966022.jpeg

Connection fees utakuwa charged pole pole through your electricity bills
 
Yes, kuna mradi wa serikali wa last mile inaangusha umeme kwenye low income houses zisizokuwa na uwezo kugaramikia connection fees na wiring. Unawekewa meter na vitu basic kama taa na socket na hulipii chochote
View attachment 2290428
Connection fees utakuwa charged pole pole through your electricity bills
Bila shaka hapa uhitaji wiring, fundi wa Kenya Power anamaliza kila kitu anapo unganisha umeme/stima. Last mile project nzuri kuunganisha poor household kwenye grid.
 
Huu ni ujinga. Bado mpo nyuma sana kama mnaongea kuhusu kuunganisha vijiji na umeme. Tuambie mumeunganisha nyumba ngapi na umeme. Hapa Kenya around 80% ya nyumba zote zina umeme.
Most of them in Nairobi the slum town.
 
Hakuna shida. Hata slums zetu zina umeme tofauti na vijiji vyenu ambavyo havina umeme.
Wewe Tony wacha ubishi wa kijinga, hakuna serikali yoyote yenye kuingiza au kulipia mtu kupata huduma za kijamii, jukumu la serikali yoyote ni kuhakikisha kwamba huduma ya maji, afya, Elimu na chakula ipo "accessible within vicinity", hiyo ndio maana ya kupatikana kwa maji, umeme, barabara, shule na chakula kwa wote.

Sio kazi ya serikali kuhakikisha kila mtu anakwenda Hospitali akiumwa, au anaingiza umeme Nyumbani kwake au Barabara hadi Nyumbani kwake, au maji hadi Nyumbani kwake, hiyo inategemea Kama huyo mtu yupo na uwezo wa kupata na anataka kupata hizo huduma, lazima mtu afanye kazi ili apate uwezo wa kulipia. Serikali ikishafikisha huduma katika maeneo yote yanayoishi watu, hapo ndipo serikali imemaliza kazi yake

Hivi wewe kwa akili yako Jiji la Dar es Salaam pekee lenye wakazi 6M ambalo kwa data za Sasa za Tanzania ambapo "Urbun electrification rate ni 95%, jumla ya Nyumba zenye kuunganishwa na umeme hazizidi hiyo 2.7M?. Sasa chukulia miji mikubwa Tanzania ni zaidi ya 30, ni mtu mjinga pekee anayezungumzia Nyumba 2.7M.

Sikiliza Tony, universal access inazungumzia percentage ya population iliyofikiwa na huduma ya jamii, iwe ni Afya, maji au umeme, kwa upande wa maji, lazima hayo maji yapatikane ndani ya kila Kijiji lakini sio kila Nyumba, Afya ni hivyo hivyo.

Tafadhali tupe data za Kenya za "Urban electrification rate & Rural electrification rate ili tupate average, kumbuka 75% ya wakenya wanaishi vijijini.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hawa wanavijua vijiji vya Tz au wamezaliwa town halafu wanafananisha vijiji na mitaa ya mjini. Waweke mikakati ya kufkia 50% Kwanza ndo wajadili kuhusu vijiji.

Wewe ndio hujui kitu, Vijiji karibu vyote sasa hivi vina umeme. Mradi wa REA umefanikiwa kwa sehemu kubwa.
 
Back
Top Bottom