Tanzania yawa nchi ya mfano SADC, vijiji vyote kupata umeme mwishoni mwa mwaka huu (2022)

Wakati Kenya tunazungumza kuhusu 'last mile connectivity'. Ambayo inahusisha kuunganisha umeme hadi kwenye stage ya mwisho. Yaani nyumba baada ya nyumba, hata pale ambapo wakazi hawana uwezo wa kulipia huduma hiyo. Hawa wenzetu wanaturingia na kujiita vinara, kisa eti wameanza kuunganisha vijiji. 😆 Hivi Kenya kwenye nyakati hizi kuna kijiji ambacho hakijaunganishwa kwenye grid?

Watanzania acheni hizi comedy, hawa viongozi wenu huwa wanawabeba malenge sana. Ndio maana anayezungumza kuhusu vitu kama hivyo ni spika. Yaani siasa siasa tu na usanii, sasa spika huwa anahusika vipi kwenye masuala ya kuunganisha umeme au hata ujenzi wa miundombinu?
 
Alafu hizi vijiji vyao ndo sub-locations huku kenya. Eti ukifikisha post ya stima kwenye sub-locations kama kangemi, muthaiga, kyuna n.k, unahesabu hizo areas kama ziko na umeme [emoji1787][emoji1787]. Watanzania ni majokers
 
Can a lab technician be an intelligent person?, Stupid.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Can a lab technician be an intelligent person?, Stupid.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
For your information, I'm not aLab technician but a Microbiologist. Microbiologists are the custodians of your life, so don't joke with them. When dangerous diseases like COVID and Ebola erupts everything is left in the hands of microbiologists to show people the way. Microbiologists are the people who know how to grow, control, treat and eradicate any kind of diseases in this universe. Such people have intelligent quotient that your president can't even dream of. Life science revolves around Microbiology and your miserable life depends on us Microbiologists.
 
In medical field, the most intelligent people are going to be medical doctors, the second class to paramedical fields, microbiologist is among them.

I am very much aware of this area, actually, in Africa is very difficult to separate Microbiologist from lab technician because they almost perform the same tasks, collection of specimen, do microscopic examinations to identify presence of micro organisms and give results to customers, very few researches and no new discoveries in Africa.



Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Come to Kenya and see what Microbiologists do in KEMRI. Remember KEMRI is the best research institute in Africa. Just to make you understand one thing, medical doctors only treat what they are aware of, and how do they become aware of these diseases? It's through Microbiologists. Without Microbiologists even the drugs you are using can't be developed.
 
What you know about Microbiology is just the cover, you have no idea of what's inside. Microbiologist performs research ranging from zoology to botany. That's why they are able to develop drugs from plant sources which lab technician can't do. Lab technician have no knowledge in biosecurity which involves using using organisms to make weapons.
 
There so many diseases which don't even need Microbiologist, High blood pressure, Cancer, Cardiovascular diseases, therefore microbiology is very small brach in medical field.

You all support doctors, without them you can't do anything in medical field, they give you orders on what to do.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
If you could have known that microorganisms contribute to the regulation of blood pressure then you could have not typed something like this. Blood pressure is as a result of vasodilation and vasoconstriction and high blood pressure is because of vasoconstriction, Microorganisms are among the causes of vasoconstriction. For Cancer, did you know that 15% of all cancer cases in the world is caused by microorganisms? Doctors doesn't give microbiologists order but it's microbiologists that tells the doctors DOS & DON'TS.
 
Huu ni ujinga. Bado mpo nyuma sana kama mnaongea kuhusu kuunganisha vijiji na umeme. Tuambie mumeunganisha nyumba ngapi na umeme. Hapa Kenya around 80% ya nyumba zote zina umeme.
Sio kweli bro
 
Mi ni mtz ika viongozi wengi wa Tz ni waongo kama shetani na wanafiki Sana. Mijini umeme hamna, vijijini?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…