MzeeKipusa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,705
- 4,967
- Thread starter
- #21
Aaah sio kweli bhana [emoji23] UMMY na Mama wapi na wapi bhana!!!Limekaa kisanii saniii
Ila kuna mdau kasema ni la kiarabu likimaanisha mama [emoji2]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaah sio kweli bhana [emoji23] UMMY na Mama wapi na wapi bhana!!!Limekaa kisanii saniii
Ila kuna mdau kasema ni la kiarabu likimaanisha mama [emoji2]
Nimeona wameongelea takwimu za 2010Kwani sasa hivi wako wangapi wenye Ukimwi
Sio mimi ni reymage huyo 😄Aaah sio kweli bhana [emoji23] UMMY na Mama wapi na wapi bhana!!!
Huu ni uongo bhana!Wewe unaonaje
Itawezekanaje?Utakuwa hujamwelewa vzr. Kufikia mwaka 2030 tutakuwa tumesupress Kwa 95%
Wana switch on kwenye "Homa ya Ini" biashara ya ARV Imebuma wanakuja na hiyo homa ya ini wanasema ni hatari ila chanjo zipo wanatoa lakini hakuna dawa ya kupona dalili na njia za maambukizi ni zilezile za HIV.Dah , sio poa!
Nipo hapa nafuatilia BBC London habari...
Da'Ummy anasema , eti eti..kufikia 2030 Tanzania haitakua na UKIMWI kabisa.
Wadau hii imekaaje? Kuna ukweli hapo?
Wa Iringa , lazima uarike marafiki zake wa karibu kama kina CANCER , HENIA, HOMA YA INI, CORONA ...Ngoma kama ngoma, Nasikia ngoma ya iringi ni moto[emoji23]
Jamaa anasikitisha sana, kipindi cha Mwendazake Taccaids walipotea pengine tungekuwa kwenye hatua nzuri sana.Unataka aseme maambukizi yataongezeka?
Dah , sio poa!
Nipo hapa nafuatilia BBC London habari...
Da'Ummy anasema , eti eti..kufikia 2030 Tanzania haitakua na UKIMWI kabisa.
Wadau hii imekaaje? Kuna ukweli hapo?
Kwamba wale wa Kituo Dry Chama watakua hawapo tena watu hawaendi nyama Kwa nyama siku hizi.Dah , sio poa!
Nipo hapa nafuatilia BBC London habari...
Da'Ummy anasema , eti eti..kufikia 2030 Tanzania haitakua na UKIMWI kabisa.
Wadau hii imekaaje? Kuna ukweli hapo?
Nitakua hapa 2030 huu uzi utafufukaWadau hii imekaaje? Kuna ukweli hapo?
Duuh!. Sawa KakaNimeona umeandika mambo ya DP WORLD wakati hapa tuongelea issue ya HIV
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duuh!. Sawa Kaka
Ummul Kuruthumu.Hivi nini kirefu cha jina ummy
Mbona lina swaga kama za DP WORLD [emoji23]Ummul Kuruthumu.