MzeeKipusa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,705
- 4,967
- Thread starter
- #41
Na machale kundesa [emoji23][emoji23][emoji23]"Ngachoka"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na machale kundesa [emoji23][emoji23][emoji23]"Ngachoka"
Mkuu, labda umesikia vibaya ni 20300, maana hawa kuwaamini yahitaji uwe na akili chache saaana.Dah , sio poa!
Nipo hapa nafuatilia BBC London habari...
Da'Ummy anasema , eti eti..kufikia 2030 Tanzania haitakua na UKIMWI kabisa.
Wadau hii imekaaje? Kuna ukweli hapo?
Kwa hyo wamefanya sub sio?tutazamie HIV na yenyewe inaenda kaa mbao ndefu kumsubiria ndugu yake Hypertesis BWana switch on kwenye "Homa ya Ini" biashara ya ARV Imebuma wanakuja na hiyo homa ya ini wanasema ni hatari ila chanjo zipo wanatoa lakini hakuna dawa ya kupona dalili na njia za maambukizi ni zilezile za HIV.
Akiwa huko Dodoma aache kutumia cond…m aone yatakayomkuta.Dah , sio poa!
Nipo hapa nafuatilia BBC London habari...
Da'Ummy anasema , eti eti..kufikia 2030 Tanzania haitakua na UKIMWI kabisa.
Wadau hii imekaaje? Kuna ukweli hapo?
Dah , sio poa!
Nipo hapa nafuatilia BBC London habari...
Da'Ummy anasema , eti eti..kufikia 2030 Tanzania haitakua na UKIMWI kabisa.
Wadau hii imekaaje? Kuna ukweli hapo?
[emoji2][emoji1][emoji2][emoji2][emoji2]ila weweeeLipo sexy [emoji1]
Kaaahhh[emoji2][emoji1][emoji1][emoji1]acha basiUMMY ni jina la utani ....I mean...kuna baadhi ya watoto wanakuaga hawajui kuita baadhi ya vitu..mfano maji..wao huita "mma"... So usikute Dadaetu wakati yupo mtoto alishindwaga kuita au kusema kitu...na akawa anasema " umm ummi ummiii" ..mwisho wakaamua kuwa wanamuita "UMMY"
Eeeeh ummy yummy 🤗[emoji2][emoji1][emoji2][emoji2][emoji2]ila weweee
Umeona eeeJamaa anasikitisha sana, kipindi cha Mwendazake Taccaids walipotea pengine tungekuwa kwenye hatua nzuri sana.
Always[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]Eeeeh ummy yummy [emoji847]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🥴AiseeHivi kweli (kabisa kabisa) hawa viongozi wetu wataenda mbinguni kweli?