Tanzania yaweza kukosa Mkopo wa Dola Milioni 500 kutoka Benki ya Dunia

Namna pekee ya kuwakwepa mabeberu ni kuanzisha mtaala wetu wa elimu!sio kujitekenya kwa kuwakataa huku tunataka misaada yao!!!
 
Wanatafuta pes za kampeni na kununulia gari ya mabomu ya washawasha na vifaru.
 
Anaanza kulilia pesa za mabeberu
 
Hata mimi nasema mnyimwe pesa mnazopewa mnafadhili vikundi vya kigaidi vya wasiojulikana.
 
Hapa zitto kapigila mstari kwenye kidonda.
 
Mule muleeeeee kumbe zito akili zimo sana. Safi sana kaka.
 
Aisee! Huwa nafikiria sana kuhusu hili uliloandika, ni baadae sana kuona tija ya mikopo hii hadi huwa nakuwa na shaka kama kweli wana nia ya kutufanya tuendelee.
 
Tairi peke yakoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ jamaa wananunua ndege kwa keshi tena kwa majigamboo mengi kisha elimu ya watoto wa wanyonge wanaenda kutembeza bakuri,wakinyimwa wanaanza kulalia,Donor country unalilia nini mkopo toka kwa beberu
 
si tuukatae tu kwani tumelazimishwa? nasikia watoto wakishapata mimba hawawi watanzania tena bali wanahamia nchi nyingine
 
Kwa hiyo wewe mwanaccm unaona kiwanda kikubwa ,sijui kilimo cha umwagiliaji,sijui nini ndo muhimu sana kuliko elimu ya watanzania?Ni hivi wewe zero brain,ukiwekeza kwenye elimu maana yake umewekeza kwenye kuzalisha skilled labor ambapo humo utapata irrigation engineers and technicians, mechanical engineers and the like ambao ndo wanaendesha hicho kiwanda chako,umezalisha wahasibu etc.Kwa lugha nyingine ni kwamba kwa watu wenye akili zao, Elimu bora ndiyo baba na mama wa kila kitu hapa duniani, wakati Trump anawakumbusha juu ya shithole countries zenu aliwaambia,the america you see now shining was not built by good will of people but intelligence, Ila kwa vilaza kama ninyi kiwanda ni Bora kwa kuwa mmezoea either kuwa makuli au machinga wa kutembeza bidhaa za wachina.bure kabisa w/
 
Kwa namna ulivoandika na mpangilio wako wa hoja naomba nikujibu kwa level zako na nikuhakikishie kuwa wewe ni gasho. Leta mnduqu wako nikague ili tuondoe utata. Qumer meh yow
 
Utakuta watu wengi hapa hata watoto wao hawasomi shule za serikali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…