Ben Bella
JF-Expert Member
- Dec 3, 2019
- 529
- 1,858
Kwani wasichana wanaopata mimba na ambao Zitto anawatetea warejee shule baada ya kujifungua ndiyo mashoga?
MaCCM yaliyo mengi yana akili za kuvukia barabara tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
MaCCM yaliyo mengi yana akili za kuvukia barabara tu.
Ajabu Muislamu Zito Kabwe anapigania kuhalalisha Ushoga Tanzania, kafir Zito!
Sent using Jamii Forums mobile app