Kevin85ify
JF-Expert Member
- Apr 6, 2019
- 2,684
- 3,429
Kama kawaida yenu hamna akili na hamjui lolote hapa duniani zaidi ya kupika data na kuiba pesa za nchi yenu, Kenya haijawahi kufikisha FDI ya $2B tangu mlipopata uhuru, FDI yenu mwaka 2019 ni $1.3B na inazidi kushuka mwaka hadi mwaka
Foreign investment in Kenya - Santandertrade.com
i) Kweli uwezo wa utafiti na masomo Tanzania ni kidogo , hiyo link inataja report ya UNCTAD amabayo yenyewe kati kati ya 2019(June) iliweka FDI ya Kenya kuwa $1.6 billion.
ii) Walioandika hiyo report ya $2.9 billion November 2019, ni Financial times- UK na British Chamber of Commerce, si Kenya , ama kiingereza ndiyo ngumu huelewi walichoandika hapo. Hawa UK wenyewe ndiyo wawekezaji wakubwa kabisa katika nchi ya Kenya, na wanajua pesa yote waliowekeza kenya kwa mwaka ya 2019
NB: Hii hapa tena soma report zote mbili kisha nagalia tarehe alafu rudi bila ushenzi mingi ya kitanzania. Wakati mwingine jaribu kufikiria siyo kuweka utanzania mingi iliyojaa udaku za kijiji na uwivu.
https://unctad.org/en/pages/newsdetails.aspx?OriginalVersionID=2109
2019 'blockbuster' year for foreign investments in Kenya