Tanzania yazuia ndege za Kenya Airways kutua nchini. Ni baada ya Kenya kutoruhusu ndege za Tanzania kubeba mizigo Kenya

Kwa mujibu wa barua ya Johari, issue yahusu ndege za mizigo lakini Tanzania yapiga ban ndege za abiria.

Hii waisoma vipi hii?
Tena wapige ban na magari ya abiria na mizigo.

Wanajidai wajanja, sasa wataijuwa Tanzania walikuwa wameisahau.
 
Wajinga tu nyie wenye, uchungu wa kufiwa usioisha. Hoja yako ya maana ni nini hapa sasa kama sio upuuzi tu?!!!! Mwishowe mumchukiae atawaonyesha dole la kati 'live', mabwege nyie!
Wewe kima acha matusi tutakutia dola la katiiii
 
Wakati walipozuia ndege za Tz kwa kigezo cha lockdown Watz wengi walilishwa sumu kwamba tatizo ni Magufuli (roho mbaya yake) na siyo ushindani, sasa hili la leo pia Magufuli ndiyo bado ni tatizo?
 
Mama yenu si alifungua Nchi.
Alimfavour Ruto, akajiwahi kumpongeza kushinda urais wakati kesi ikingali Mahakama ya Upeo kusubiri uamuzi, acha Ruto amnyooshe.

Kenya chini ya utawala wa Ruto Tz ijiandae kulia sana. Hii ni "intro" "duction" bado.
 
Na hatuwaoi tena wakenya
Wake zenu watawafuata tu kupitia Rombo kwenda kuhemea mimba.

Mama pia alisema nyumbu wetu wa Serengeti wanaenda kuchukuwa mimba Kenya (kama vile huko ndiyo kuna madume tu), diplomasia ya uchukuaji mimba Kenya hahahaaa...
 
Hili jambo linahitaji high level intervention ili lisiendelee kuhatarisha EAC.
 
Good move ATCL. WaKenya ukiwachekea chekea wana janja janja nyingi sana.

Kama wamekatalia ndege za ATCL kubeba mizigo ina maana za makampuni mengine zinabeba. Why ATCL akataliwe?
Ila tukumbuke hasara ni kubwa kwa Tz kuliko Kenya kwa sababu licha ya JKIA kuwa ndogo kwa JNIA; JKIA ni Hub. Ukizuiliwa ku-access Hub umeuawa kibiashara. Tupambane JNIA iwe Hub kwa sababu kwa ujenzi wake, ni ya pili kwa idadi kubwa ya abiria inayotakiwa kuhudumia kwa mwaka nyuma ya Oliva Tambo International Airport. Tatizo kwa serikali ya CCM yetu hili hili ni gumu kutekelezeka.
 
Wakati walipozuia ndege za Tz kwa kigezo cha lockdown Watz wengi walilishwa sumu kwamba tatizo ni Magufuli (roho mbaya yake) na siyo ushindani, sasa hili la leo pia Magufuli ndiyo bado ni tatizo?
Haiondoi ukweli kwamba JP waa a blood sucking monster
 
Hii Jumuiya kila mtu ashike lake tu kwa sasa
Mbona wanachama wapya wanataka kujiunga Ethiopia, Djibouti na Somalia na kufanya EAC consumer market kuwa na watu 800ml sawa na 57.14% ya watu wa Uchina.

Ila cha ajabu, nchi za vita na migogoro ndizo zinajiunga EAC.
 
Ila mkuu tukichunguza kiumakini bado tuna hasara Tz kuliko Kenya kwa vigezo vifuatavyo:-

1. Watalii wanaokuja direct Tz toka ng'ambo ya bahari wanatumia KQ na mashirika mengine yanayotumia JKIA kama Hub ya EAC Corridor.

2. ATCL inawindwa kila kona duniani kukamatwa kufidia madai hivyo hata ku-fly overseas i.e. Europe na Americas kuleta watalii ni shida.

3. National Carrier yetu ita break-even-point 2032 wakati KQ inaingiza faida (waliishatoka kwy ku-break-even-point miaka mingi).

4. ATCL imejaa wenye njaa na machawa tu wasioweza kufikiri kiushindani na kimkakati dhidi ya KQ.

NB.
Kesho KQ ikielemewa tena wata impose ban mara ya 3.

Nadhani ATCL iingie mkataba na Ethiopian Airlines ku-fly route ya JKIA kwa niaba ya ATCL ili wagawane mapato wakati huo huo Tz iendelee kuiadabisha KQ kwa zuio.
 
Hujui undani wa migogoro ya EU, BREXIT ni zao la mivutano!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…