Kwahiyo tunahangaika sio? Aliyewaambia sisi tunahangaika ni nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo tunahangaika sio? Aliyewaambia sisi tunahangaika ni nani?
Hao Punda wa Kunyaland ni kwenda nao hivyo hivyo.View attachment 2872704
Taarifa ya Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania imeeleza kuwa kwa niaba ya Mamlaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imeamua kufuta vibali vya Shirika la Ndege la Kenya (KQ) kuendesha safari za abiria kati ya Nairobi na Dar es Salaam kuanzia 22 Januari 2024
Taarifa hiyo imedai hatua hii ni baada ya uamuzi wa mamlaka ya anga ya Jamhuri ya Kenya kwenda kinyume na Kifungu cha 4 cha Mkataba wa Maelewano kuhusu Huduma za Ndege, kati ya Tanzania na Kenya yaliyotiwa saini Novemba 24, 2016 Jijini Nairobi
Kufuatia Uamuzi huu, hakutakuwa na safari za ndege za abiria kwa KQ kati ya Nairobi na Dar es Salaam kuanzia tarehe 22 Januari 2024
Watu hawajui wakenya haitakiwi kuwaendea softlyIngekua jembe kafanya hivi angetukanwa sana,uliona mbali R.I.P JPM
#Pooooovuuuuruksaaaa
Wakenya ni mafala fulani hivi.Kwahiyo tunahangaika sio? Aliyewaambia sisi tunahangaika ni nani?
Alaf yanasura mbaya utadhani paka wa bambalagaHao Punda wa Kunyaland ni kwenda nao hivyo hivyo.
Wana chuki sana na Tzn sijui Huwa yakoje
Sababu wao walijiandaa kutufungia, basi hata wakitufungulia itabidi na sisi tutumie angalau mwaka hivi tukijiandaa kuwafungulia...wangese sana hawa wakenya.Kumekucha.
Kama kupata tupate wote, kwa nini unazuia ATCL isinlbebe mizigo Tanzania na kutua Kenya.
Nadhani kuna haja ya kutumia forum za kidiplomasia za EAC. Vinginevyo tuambiwe EAC imeshindwa kukutanisha viongozi wake ili kutatua mambo yao kwa amani.
View attachment 2872698
Hasa na bavicha wangesema JPM anavuruga demokrasiaIngekua jembe kafanya hivi angetukanwa sana,uliona mbali R.I.P JPM
#Pooooovuuuuruksaaaa
Huwezi kuunganisha mabomu madogo madogo kadhaa halafu utegemee usalama. Hizi nchi za EAC zote zina matatizo ya ndani makubwa tu. Sahihi ilitakiwa wa-draft sheria na kanuni (tena wawape third party kufanya hii kazi) halafu kuwe na ulazima wa kila nchi ku-adhere to them. Kwa mfani kuwe na kanuni kuwa kila nchi ni lazima uchaguzi uwe baada ya miaka mitano na kuwe na ukomo wa urais bila kusahau uchaguzi huru na wa haki.EAC ni muungano wa kihuni sana na utasambaratikaga kihuni sana,Rwanda na Burundi wana bifu,Rwanda na Congo bifu,Uganda na Kenya bifu ya biashara ya mafuta na sasa Kenya na Tanzania tena. Muungano kama EU wana mashariti magumu sana kupokea wanachama,ndio maana huwezi sikia wanakwaruzana wao kwa wao.EAC ni muungano wa kihuni
Wewe jamaa asee😀😀Na hatuwaoi tena wakenya
warudi kabla ya tarehe 22Tar 17 nna wageni wangu wanakuja dsm na KQ
sasa hapo inakuwaje
Ova
Kumekucha.
Kama kupata tupate wote, kwa nini unazuia ATCL isinlbebe mizigo Tanzania na kutua Kenya.
Nadhani kuna haja ya kutumia forum za kidiplomasia za EAC. Vinginevyo tuambiwe EAC imeshindwa kukutanisha viongozi wake ili kutatua mambo yao kwa amani.
======
Taarifa ya Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania imeeleza kuwa kwa niaba ya Mamlaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imeamua kufuta vibali vya Shirika la Ndege la Kenya (KQ) kuendesha safari za abiria kati ya Nairobi na Dar es Salaam kuanzia 22 Januari 2024
Taarifa hiyo imedai hatua hii ni baada ya uamuzi wa mamlaka ya anga ya Jamhuri ya Kenya kwenda kinyume na Kifungu cha 4 cha Mkataba wa Maelewano kuhusu Huduma za Ndege, kati ya Tanzania na Kenya yaliyotiwa saini Novemba 24, 2016 Jijini Nairobi
Kufuatia Uamuzi huu, hakutakuwa na safari za ndege za abiria kwa KQ kati ya Nairobi na Dar es Salaam kuanzia tarehe 22 Januari 2024
View attachment 2872698
Hongera sana Johari kusimamia taaluma,utaalamu na uzalendo vyote Kwa mpigo wengine waige kwakoAngalau hapa mwanasheria nguli wa TCAA msomi Hamza Johari amefanya uzalendo unaukubalika, kutetea maslahi ya Tanzania.
Na katazo hili liwe siyo tu baina ya Nairobi na Dar es Salaam tu bali Kenya na viwanja vyote vikubwa vya kimataifa vya nchini Tanzania.
Tanzania blocks Kenya Airways flights in reciprocity dispute
thecitizen.co.tz
https://www.thecitizen.co.tz › national
Tanzania blocks Kenya Airways flights in reciprocity dispute | The Citizen
37 minutes ago — Tanzania blocks Kenya Airways flights in reciprocity dispute. Monday, January 15, 2024.
Missing