GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
"Leo wananchi wanahamishwa, unapelekwa eneo unajengewa nyumba, unakuta hospitali, shule, unapewa hati ya nyumba, mimi naomba leo nitangaze rasmi naitwa Ole Kishoa ili nipelekwe kule na mimi nikapewe nyumba ya bure kabisa" - Jesca Kishoa, Mbunge Viti Maalum.
Chanzo: EastAfricaTV
Huwa napenda sana Kutizama 'Mabunge' ya Kenya, Uganda, South Africa, India na Uingereza yenye Watu serious mno.
Chanzo: EastAfricaTV
Huwa napenda sana Kutizama 'Mabunge' ya Kenya, Uganda, South Africa, India na Uingereza yenye Watu serious mno.