GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nitarudi baadae Mkuu tulijadili hili.daa leo nimefuatilia mjadala kidogo wa bajeti aisee watu wengi mule ni weupe sana ni kusifia tuu wanachongia vitu positive vyenye tija wakuhesabu inasikitisha sana
true say yaani unakuta mtu ni PHD holder sijui arguments zake unaweza jificha chini ya uvungu hata sisi ambao hatujui na atujasomea uchumi tunaogopa aisee kuna mama mmoja leo sijamuelewa kabisa ni wa viti maalumu nafikiri ana PHD yule akili ndogo sanaIla rafiki yangu huwa nakusifu Kwa uvumilivu. Hili Bunge unapata Muda wa kuwafuatilia? Anza kufuatilia mabunge ya Wanafunzi utapata cha maana kuliko Hilo kusanyiko la Bundi.
Hao wabunge ni zao la Uchafuzi wa mwaka 2020.daa leo nimefuatilia mjadala kidogo wa bajeti aisee watu wengi mule ni weupe sana ni kusifia tuu wanachongia vitu positive vyenye tija wakuhesabu inasikitisha sana
Hoja yako na yake ni ipi hasa?"Leo wananchi wanahamishwa, unapelekwa eneo unajengewa nyumba, unakuta hospitali, shule, unapewa hati ya nyumba, mimi naomba leo nitangaze rasmi naitwa Ole Kishoa ili nipelekwe kule na mimi nikapewe nyumba ya bure kabisa" - Jesca Kishoa, Mbunge Viti Maalum.
Chanzo: EastAfricaTV
Huwa napenda sana Kutizama 'Mabunge' ya Kenya, Uganda, South Africa, India na Uingereza yenye Watu serious mno.
Kwamba Wewe na Yeye ( Mbunge ) Wote ni 'Mapopoma' Mliotukuka.Hoja yako na yake ni ipi hasa?
Anaitwa Dk. Christine Ishengoma.true say yaani unakuta mtu ni PHD holder sijui arguments zake unaweza jificha chini ya uvungu hata sisi ambao hatujui na atujasomea uchumi tunaogopa aisee kuna mama mmoja leo sijamuelewa kabisa ni wa viti maalumu nafikiri ana PHD yule akili ndogo sana