Wakuu majasusi wengi wa Tanzania au tunaoambiwa kuwa ni watu wa system wengi ni informers. Ujasusu kama ujasusi hapa Tanzania ni kama hakuna. Usalama wa Taifa au TISS/UWT kazi yao kubwa iko kwenye kumonitor mwelekeo wa kisiasa Tanzania hasa kuwadhibiti opposition na elements zote za upinzani na assasinations za elements zozote zinazoonekana kuwa against himaya ya CCM.
Usalama wa Taifa ulianzishwa na CCM kwa hiyo bado unaiserve CCM na sio Taifa, kama ungekuwa unaiserve Taifa mambo mengi tunayolalamikia sasa yasingekuwepo.
In simple words, kazi yao ni kulinda viongozi, kusafiri na viongozi na kuilinda CCM.
Kazi kubwa nayoweza kusema naikumbuka kwa hivi karibuni ni kukama wale majambazi wakubwa waliokuwa wanavamia mabenki. Naweza kusema they did an excellent job, wangefanya hayo kwenye mengine tungekuwa mbali sana.