Mzee Mlowezi
Member
- Jan 16, 2007
- 27
- 2
Wenzetu wanayojua shughuli hizo husaidia sana nchi zao. Sasa nyinyi ndugu zangu mnaolaumu ujasusi wa Tanzania mnanyeti gani ambazo zitasaidia uchumi na maendeleo ya bongo licha ya kuwa yawezekana kabisa kuna mambo chungu mzima yako mbele ya macho yenu huko mliko ambayo yangenufaisha nchi yenu lakini aidha hamyaoni. au mnapuuzia. Jasusi wa uchumi au biashara hana haja kuwa na uhusiano na chama au serikali bali husukumwa kwa uchungu na mapenzi na nchi yake.