Mzee Mlowezi
Member
- Jan 16, 2007
- 27
- 2
well said halafu kutwa kujitaja,na kujisisfia.hata shule hakunaHapa hakuna majasusi. Waliopo ni informers tu. Kwanza jasusi huwezi kumjua kwa sababu anafanya kazi kwa usiri mkubwa, hio ni sifa ya kwanza. Pili, ni 'intelligent' sana, anajua mambo mengi nk. Hapa watu wanaona ujiko kujulikana tu ni informer.
Wenzetu wanayojua shughuli hizo husaidia sana nchi zao. Sasa nyinyi ndugu zangu mnaolaumu ujasusi wa Tanzania mnanyeti gani ambazo zitasaidia uchumi na maendeleo ya bongo licha ya kuwa yawezekana kabisa kuna mambo chungu mzima yako mbele ya macho yenu huko mliko ambayo yangenufaisha nchi yenu lakini aidha hamyaoni. au mnapuuzia. Jasusi wa uchumi au biashara hana haja kuwa na uhusiano na chama au serikali bali husukumwa kwa uchungu na mapenzi na nchi yake.
Zamani hii kazi ya UWT ilionekana si lolote si chochote, ni kazi ya hali ya chini na watu wasiokuwa na elimu . Mtu alikuwa akishindwa kabisa ndiyo , anapepesukia huko hivyo ilikuwa katika daraja la kazi za uaskali kwa mtizamo wa wengi na hakuna ntu aliyeitaka. Kwa hali hiyo watu wengi wenye madaraka huko leo ni wale darasa la saba ama fomu 4 feliea na wanaogopa sana vijana wenye elimu nzuri kuingia huko maana watawapindua . Usitegemee kabisa hawa UWT waweze kufanya kazi za kitaalamu za kuleta maendeleo Tanzania,wanachofanya ni kazi ya uifoma tu, Lakini ukisoma historia ya mashirika ya ujasusi ya nchi zilizotaka maendeleo na kuyapata utaona katika idara hii inatakiwa taalumu hasa na wala si kujuana kama ilivyo hapa kwetu. Huko ughaibuni library unaweza ukaona vitabu ambavyo hapa Bongo unaweza kuambiwa ni siri kuhusu haya mashirika ya ujasusi.
umenikumbusha mtaalamu mmoja wa mambo ya intelijinsia alisema kuwa asilimia 90 ya taarifa zinapatikana bure lakini umuhimu wake ni 10% wakati 10% inaweza kupatikana kwa kazi nzito na umuhimu wake ukawa 90%.zamani hii kazi ya uwt ilionekana si lolote si chochote, ni kazi ya hali ya chini na watu wasiokuwa na elimu . Mtu alikuwa akishindwa kabisa ndiyo , anapepesukia huko hivyo ilikuwa katika daraja la kazi za uaskali kwa mtizamo wa wengi na hakuna ntu aliyeitaka. Kwa hali hiyo watu wengi wenye madaraka huko leo ni wale darasa la saba ama fomu 4 feliea na wanaogopa sana vijana wenye elimu nzuri kuingia huko maana watawapindua . Usitegemee kabisa hawa uwt waweze kufanya kazi za kitaalamu za kuleta maendeleo tanzania,wanachofanya ni kazi ya uifoma tu, lakini ukisoma historia ya mashirika ya ujasusi ya nchi zilizotaka maendeleo na kuyapata utaona katika idara hii inatakiwa taalumu hasa na wala si kujuana kama ilivyo hapa kwetu. Huko ughaibuni library unaweza ukaona vitabu ambavyo hapa bongo unaweza kuambiwa ni siri kuhusu haya mashirika ya ujasusi.
well said halafu kutwa kujitaja,na kujisisfia.hata shule hakuna
Zamani hii kazi ya UWT ilionekana si lolote si chochote, ni kazi ya hali ya chini na watu wasiokuwa na elimu . Mtu alikuwa akishindwa kabisa ndiyo , anapepesukia huko hivyo ilikuwa katika daraja la kazi za uaskali kwa mtizamo wa wengi na hakuna ntu aliyeitaka. Kwa hali hiyo watu wengi wenye madaraka huko leo ni wale darasa la saba ama fomu 4 feliea na wanaogopa sana vijana wenye elimu nzuri kuingia huko maana watawapindua . Usitegemee kabisa hawa UWT waweze kufanya kazi za kitaalamu za kuleta maendeleo Tanzania,wanachofanya ni kazi ya uifoma tu, Lakini ukisoma historia ya mashirika ya ujasusi ya nchi zilizotaka maendeleo na kuyapata utaona katika idara hii inatakiwa taalumu hasa na wala si kujuana kama ilivyo hapa kwetu. Huko ughaibuni library unaweza ukaona vitabu ambavyo hapa Bongo unaweza kuambiwa ni siri kuhusu haya mashirika ya ujasusi.
Hivi mashushushu wa TZ kazi yao nini?..ukikaa hivi unasikIa mara fulani ni shushushu..mara taxi dreva fulani ni mtu wa system... mara mwanafunzi fulani naye yuko kwenye system....
kaaazi kweli kweli...
Katika soma soma zangu nimeona jinsi ujasusi wa kiteknolojia na kiuchumi ilivyoisaidia china kufika hapo ilipo. Lakini Nimekuwa najiuliza je serikali yetu ya Tanzani inao majasusi wa aina hii?
Ninahisi bado serikali yetu ime concentrate kwenye ujasusi wa kufatilia maisha ya watu , wizi, ujambazi , na wale wa kuakikisha serikali iliyopo madarakani haipati vikwazo kutoka kwa wananchi wake, etc.
Ingekuwaje kama Serikali ya Tanzani ingepata taarifa mapema za kijasusi ikafanya kila liwezekanalo kile kiwanda cha kukata dahabu kisijengwe Uganda na badala yake kijengwe Tanzania.
Je Kuna majasui wa kichumi wanafuatilia au kujua bajeti za kenya na uganda zitafanya mabadiliko gani yatakoyotahiri upande Tanzania . Ujasusi wa aina hii ni muhimu ili kujipanga na kuwa katika advantage.
nadhani Vision na Mission ya TISS au UWT inatakiwa iwe ya style hii. Kuwachezea faulo kenya na Uganda kwa manufaa ya watanzania sioni kama ni kosa.
Je Tanzania tunao majasusi wa kichumi au kiteknolojia? Je si sawa moja ya wajibu wa mabalozi wetu nje ya nchi kuwa majasusi wetu wa kiuchum?
Nawasilisha
usisahau kupiga picha na wasanii wa america na kuletewa jezi za wachezaji wa futiboli. patheticUna hoja lakini hii ni kumpigia mbuzi jitaa (Guitar) unategemea aondoke miondoko ipi. Majasusi wa Tanzania ni wa kufuatilia nani anahatarisha nafasi ya Lowasa kuwa Rais 2015 au ni vipi tunaweza kuchakachua matokeo. Kuna vijana wangapi wa Tanzania wapo nje hawapewi nyenzo na uwezo wa kuweza kuiba teknolojia kwa ajili ya nchi yetu? Hivi karibuni kulikuwepo scandal ya kijasusi kati ya Marekani na Russia...Miongoni mwa spies ni wale ambao walikuwepo rasmi kujua sera za Ikulu ya Marekani na hivyo kujipanga katika masuala ya policies (hii ni pamoja na technolojia na uchumi). Sisi tukienda mbali sana ni kujaribu kujua Kenya wana silaha zipi...lakini uchumi wao vipi it is not our business!
Mi nadhani swala la ujasusi wa kiuchumi linapaswa kufanywa na wizara husika katika maeneo yao, kwa mfano hilo la kujengwa kiwanda cha kukata dhahabu Uganda wizara ya madini ilipaswa kulifahamu. hili linawezekana kama kutakuwa na kitengo maalum cha kufuatilia kitu gani kipya chaja kwenye sekta yao.
Mfano katika kampuni nilizo bahatika kufanyia kazi kulikuwa na vutengo hivyo ambavyo kazi yake ni kukusanya taarifa za soko na kuziweka kwenye mtandao kwa watu wote kuona na kuzifanyia kazi, kwa kufanya hivyo kazi ya kufanya maamuzi inakuwa rahisi maana unakuwa na taarifa mapema kuhusu soko
Upinzani wa biashara ndio utasaidia kwenda mbele zaidi ingawaji soko ni huria lakini sheria bado ni za "monopolistic". Mfano ni pale ambapo unatetea maslahi ya msambazaji awa pekee katika usambazaji wa bidhaa fulani wakati inajulikana kabisa kuwa msambazaji ataweka bei yake tena ya juu ili mradi tu apate "profit" la asilimia zaidi ya 100. Vitu kama hivi ndivyo vinafanya milipuko ya bei ovyo ovyo. Tutoe mawazo na sheria za umimi umimi, tupunguze kodi kwa mwananchi na kurudisha kodi kwa kila mwekezaji maana wengine wanatumia vibaya mwanya huu, mfano ni Celtel, imekuwa Zain na itakuwa kitu kingine baada ya muda tu, nyingine ni ile hotel ya SHeraton. Hawa jamaa wakishapata hela zao basi wanajidai kufanya kama wameiuza kwa wengine kumbe bado tu unakuta bado wanayo sema kupitia kampuni mama na wanazidi kupewa "tax exemptions". Nchi hii, inapotezwa na wale wanaotuwakilisha katika kila kitu sijui ni kutokana na ufinyu wao wa elimu, mawazo yao binafsi au uwizi wao wa vyeti feki!