Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,440
Katika soma soma zangu nimeona jinsi ujasusi wa kiteknolojia na kiuchumi ilivyoisaidia china kufika hapo ilipo. Lakini Nimekuwa najiuliza je serikali yetu ya Tanzani inao majasusi wa aina hii?
Ninahisi bado serikali yetu ime concentrate kwenye ujasusi wa kufatilia maisha ya watu , wizi, ujambazi , na wale wa kuakikisha serikali iliyopo madarakani haipati vikwazo kutoka kwa wananchi wake, etc.
Ingekuwaje kama Serikali ya Tanzani ingepata taarifa mapema za kijasusi ikafanya kila liwezekanalo kile kiwanda cha kukata dahabu kisijengwe Uganda na badala yake kijengwe Tanzania.
Je Kuna majasui wa kichumi wanafuatilia au kujua bajeti za kenya na uganda zitafanya mabadiliko gani yatakoyotahiri upande Tanzania . Ujasusi wa aina hii ni muhimu ili kujipanga na kuwa katika advantage.
nadhani Vision na Mission ya TISS au UWT inatakiwa iwe ya style hii. Kuwachezea faulo kenya na Uganda kwa manufaa ya watanzania sioni kama ni kosa.
Je Tanzania tunao majasusi wa kichumi au kiteknolojia? Je si sawa moja ya wajibu wa mabalozi wetu nje ya nchi kuwa majasusi wetu wa kiuchum?
Nawasilisha
Ninahisi bado serikali yetu ime concentrate kwenye ujasusi wa kufatilia maisha ya watu , wizi, ujambazi , na wale wa kuakikisha serikali iliyopo madarakani haipati vikwazo kutoka kwa wananchi wake, etc.
Ingekuwaje kama Serikali ya Tanzani ingepata taarifa mapema za kijasusi ikafanya kila liwezekanalo kile kiwanda cha kukata dahabu kisijengwe Uganda na badala yake kijengwe Tanzania.
Je Kuna majasui wa kichumi wanafuatilia au kujua bajeti za kenya na uganda zitafanya mabadiliko gani yatakoyotahiri upande Tanzania . Ujasusi wa aina hii ni muhimu ili kujipanga na kuwa katika advantage.
nadhani Vision na Mission ya TISS au UWT inatakiwa iwe ya style hii. Kuwachezea faulo kenya na Uganda kwa manufaa ya watanzania sioni kama ni kosa.
Je Tanzania tunao majasusi wa kichumi au kiteknolojia? Je si sawa moja ya wajibu wa mabalozi wetu nje ya nchi kuwa majasusi wetu wa kiuchum?
Nawasilisha