Tanzanialeaks apuuzwe, Hazina haijafilisika

Mwigulu ni mwiziiiiiii anayemiliki machine za kubet,anayemiliki bus za esta,anayemiliki singida united
 
Hata Nyerere aliuliza mgombea binafsi anaogopwa kwa nini?
Nadhani ni ugumu wa kumdhibiti kupitia Msajili na vyama. Vyama vipo zaidi kwa ajili ya kutekeleza ajenda za watawala.
 
Poppy Hatonn leo anaitwa mtoto wa juzi ama kweli JF uwanja wa fujo
 
Waziri wa fedha tuambie zile gharama mlizotumia kuwapeleka Bongo movie kule Korea zingetosha kujenga zahanati ngapi pale Kakonko na Kazuramimba?
 
Aaahhaaa
 
Acha hizo mkuu.
TANROADS choka mbaya, hawana hela!
 
Mchemba madelu,, Habari ya Dodoma Bwana! Nitakuja siku moja tupate chai na karanga! Ila mdogo wangu kuhusu mengine sijui Ila Yepi markez ni kweli watu wanadai sana na kuna mgogoro unatakiwa kutatuliwa haraka!

Suala la pili kuna mambo ya makato mtu anapohamisha Pesa inakatwa kwa Siri bila kujuzwa, Mfano mtu anayetuma sh 180,000 toka Vodacom Mpesa Kwenda BENK wanakata 2,000 Kama fee Ila pia kule BENK inafika pungufu ya sh elfu 1 Tena
Yaan unatuma 180,000 kamili Ila inapokelewa 179,000 nje ya makato ya kutuma

Tatu kuhusu kwenye Luku na kodi ya Pango na kwenye Vocha mbona mnatupiga? Vocha ya 500 imepandishwa Bei kuwa 600 Lakin value ya muda wa maongezi haijaongezeka, kwenye luku wanakata 1500 kila inapowekwa!

Suala la Mwisho nikupongeze kwa kuwa uwa unakanusha tuhuma bila vitisho kwamba askari akamate waliozusha, pili uwa una engage sana kwenye majadiliano bila jazba,


Britanicca
 
That's very true mkuu. Huyu waziri kwa maelezo yake tunamtofautisha vipi na jamaa wa TanzaniaLeaks? Unapinga uongo kwa kutuletea porojo tena msomi wa PhD, unataka tukuelewe vipi?
Anataka tumuamini kwa porojo ni aheri angekaa kimya kabisa, huu hauwezi kuwa utetezi.
 
Kalime viazi upate hela huyo unaempigia chapua ikulu ataisikia tu kama wewe unavyoisikia atakwenda kusalimia tu lakini hana hata chembe ya presidential material, ni huyo huyo alituambia tuhamie burundi na ni huyo huyo aliyemshukuru magufuli baada ya kupona ajali, hivyo ukae ukijua ikulu atakwenda kunywa chai au asubiri rais wa US akija hapo ikulu atapata mwaliko
 
Sawa mkuu
 
Unalalamika tozo wakati hata tin namba huijui, punguza ulevi mkuu
Punguza uchawa, aliyekwambia tozo zinawapata wenye tin peke yao nani??
Hiyo simu unayotumia kupokea miamala ya buku 7 ya mapambio haina makato??

Halafu mwenzio hizo tin ninazo kama tano
 
Punguza uchawa, aliyekwambia tozo zinawapata wenye tin peke yao nani??
Hiyo simu unayotumia kupokea miamala ya buku 7 ya mapambio haina makato??

Halafu mwenzio hizo tin ninazo kama tano
Kwahyo bila tozo hzo ruzuku wanazopata ufipa zitatoka wapi au wakzipokea wanazirudisha Tena hazina kuu? Nawalivyo walafi wa hela🤣🤣
 
Kwahyo bila tozo hzo ruzuku wanazopata ufipa zitatoka wapi au wakzipokea wanazirudisha Tena hazina kuu? Nawalivyo walafi wa hela🤣🤣
Umeona ulivyo na mihemko??
Mimi naongelea habari za wananchi ww unaingiza habari za vyama.!! Punguza uchawa basi.
 
Wooow, Leo umekuja jukwaani..welcome. kiti kimekuwa Cha moto huko jikoni...pambanaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…