juu kwa juu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 260
- 38
Yah correct its the freemassonary idiology that has brought the guy to death.watch out.
Siyo LULU Katoto ni demu wake mwingine
sure kaka ckuhizi ni kiwanda cha kuuza sura, kisha wanasahau kuwa Kuna Mungu bahati mbaya wote tutakufa na Mungu ategemei wanadamu wanasema nani awekwe wapi bali anahukumu kwa haki so fanya mema Mungu atakutunuku siwezi kumbwelambewela mwisho utegemee watu waseme RIP coz God haangalii wangapi wanasema like . Najua hatupendi kuelezwa ukweli but huo ndio ukweli
Kuwa muungwana au kwasababu sio ndugu yako.R.I.P KANUMBA.
... some say it's to do with Freemasonry ideals. Let's wait.
sure kaka ckuhizi ni kiwanda cha kuuza sura, kisha wanasahau kuwa Kuna Mungu bahati mbaya wote tutakufa na Mungu ategemei wanadamu wanasema nani awekwe wapi bali anahukumu kwa haki so fanya mema Mungu atakutunuku siwezi kumbwelambewela mwisho utegemee watu waseme RIP coz God haangalii wangapi wanasema like . Najua hatupendi kuelezwa ukweli but huo ndio ukweli
lakini si aliwahi kusema LULU ni kama mdogo wake..!?