Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

dah nimeumia sana
poleni wote
RIP bro Kaanumba-Mungu amekupenda zaidi
 
Nimeona habari alikuwa na lulu, ni lulu yupi huyo? Au ndo huyuhuyu asiyeishiwa skendo? Kama ni yeye basi mapenzi yame mkost
 

Upo sahii, lakini kwa hayo maelezo yako kwenye hii thread sio pahala pake....nawe kubali kuambiwa ukweli!
 
Aiseeee pole sana sikonge.....huyu bwana alikuwa mfano kwa vijana......


......na hii kitu lulu jamani.....nimekumbuka ile kesi ya asha mkwizu.....


......sasa JK anaomba huu msiba ungekuwa USA angepata safari......
 
Tusimpangie Mungu cha kufanya the guy never involved God in any way,after death judgement hes tomenting and cursing in the abbys now.Tusikitike hilo
 

wasanii wetu maisha ya kawaida hupenda kuish kwa kuigiza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…