inaonekana kbs una chuki binafsi,bendera fuata upepo na kanjanja,
usilete malumbano ya iman hapa saiz,kama osama,alshabaab na boko haram wanaua kwa kutumia kigezo cha dini ni wao na mitizamo yao,dini yetu sisi inahubiri aman na kila mwerevu hapa hao mapadri wenu wanajua,
sasa baadh ya viongoz wenu ambao wanashutumiwa kwa ushoga na wapo,ambao wanalawito vitoto pia wapo na kufanya machafu na watawa wa kike,unataka tuwahukumu wote kwnye mfumo huo ni waovu??
Kam kanumba ameishi maisha yake kwa kumchukiza mungu na kufia kwenye mambo ya kumchukiza mungu maombi yako yatasaidia nin??
Kila mtu atalipwa kwa matendo yake aliyofanya,we kaa ukizubaa dhambini kwa matumain kua kuna mtu kafa kwa ajili ya dhambi zako,thubutuuuu utasaga meno nduguuu...