Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

Baba yake alimfanya nn tena? Alimuahidia atakufa kwa kugombania mapenzi?
 
mbona mimi cjaona tatizo. na wala hakuanza kusema tu kua nina lexux ila alichosema kanumba alikua na wivu wa maendeleo na walipatana hadi wakawa wanafanya vitu vya kufanana kama kununua magari etc kaka
 
R.I.P kanumba. Tafadhali Mod peleka hii issue kule kunakohusika hapa ni siasa kwa kwenda mbele.
 
Idadi ya wanawake hapo msibani inaelekea ku-out number wanaume au camera yako ililenga wanawake?
 
na ugeni wangu,nilitegemea topic ingeisha kwa jibu moja tu.hastahili. Kwamba jeneza la SK lifunikwe kwa bendera yetu ya taifa? Kwa lipi? Ni watoto wangapi wa kizazi kipya amechangia kuwaharibu na kuozesha akili zao? Ni kwa kiasi gani amechangia mmomonyoko wa maadili mpaka sebule hazikaliki? Nawapa pole FAMILIA yake,na hasa mama yake mzazi,lakn tusiongele state funeral!
 
Kinatufundisha kuwa tuwe wa kweli kwani kanumba alipohojiwa alisema kuwa hana mpenzi, pia lulu naye alisema hivyo hivyo sasa lulu atawaeleza nini watanzani leo hii.
 
View attachment 51235 View attachment 51234 View attachment 51236 IMG_0014.JPG 4.jpg 6.jpg 8.jpg 10.jpg 12.jpg mdogo-wake-kanumba-akihojiwa.jpg WE4-759x600.jpg qw-800x600.jpg ni-450x600.jpg hii-ndio-nyuma-ya-kanumba-800x600.jpg watu-walio-funga-barabara1-800x600.jpg
 
uwiiiiii roho yangu inaniuma sana jamani.
Kanumba i loved you.Mungu akupumzishe kaka.
 
Back
Top Bottom