Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

wadau mnaotumia PC tuleteeni details za mleta mada, kajiunga lini na nk !

Chief Of Protocol
user-online.png

Junior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png



[h=5]Mini Statistics[/h] Join Date 6th April 2012 Last Activity Today 14:02
 
mie namuonea huruma lulu,kama kweli kaacha shule na career yake baada ya hili sioni ikienda popote,sijui itakuwaje.....
 
Kila nafsi itaonja mahuti,we should respect wafu wote!!tusilete sababu juu ya ili wakuu,mipango ya Mungu tu,na lazima ashukuriwe bila kukosolewa!R.I.P Kanumba,u gone too early son!
 
Jamani, haka katoto ni kazuri lakini jamani!!. Kweli unaweza kata roho!!/ RIP kanumba. Hawa wanawake wazuri hawa, mungu tuepushe nao!!. Mwisho wake siku zote ni 1. Kifo 2. Ugonjwa wa Moyo 3. Mafarakano na ndugu 4. Kugombana na marafiki na mabo kama hayo

umesahau ngoma.
 
Nasikiliza mkasi hapa akiongea na Salama dah inasikitisha kwa kweli
 
wadau mnaotumia PC tuleteeni details za mleta mada, kajiunga lini na nk !

Mvua za watu kama huyu "chief of protocal" mtaziona sana tu this time, mana toka majuzi, huwezi soma uzi wowote hadi u-log in, which means uwe registered na matokeo yake ndo haya!
 
Jamani hivi Tuntu yupo humu sijamuona, nakumbuka alikuwa anakavutia kasi haka katoto Lulu...
 
Back
Top Bottom