Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,768
- 3,622
Idadi ya wanawake hapo msibani inaelekea ku-out number wanaume au camera yako ililenga wanawake?
Alicreate jobs,RIP KANUMBA
wadau mnaotumia PC tuleteeni details za mleta mada, kajiunga lini na nk !
.
Sometimes watoto kama hao hawawi peke yao. Kuna mwingene ndani yao asieonekana kwa jicho la phisical (pepo).
.
mboni lulu simuoni au hayupo kwenye msiba..
Huoni wanaume waliokaa hapo kwenye viti?
mboni lulu simuoni au hayupo kwenye msiba..
Young_Master, mbona sioni!
Jamani, haka katoto ni kazuri lakini jamani!!. Kweli unaweza kata roho!!/ RIP kanumba. Hawa wanawake wazuri hawa, mungu tuepushe nao!!. Mwisho wake siku zote ni 1. Kifo 2. Ugonjwa wa Moyo 3. Mafarakano na ndugu 4. Kugombana na marafiki na mabo kama hayo
wadau mnaotumia PC tuleteeni details za mleta mada, kajiunga lini na nk !