Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

Vijana wanastahili kujifunza yakwamba umalaya,uhuni haunanafasi mda ukifika kama umeshindwa kujilinda nibora kuoa au kuolewa,kuliko kufa kifo cha kashifa kama kijana kanumba RIP.
 
RIP Kanumba. Bila ya kuangalia mazingira ya kifo I feel very sorry for his family, working collegues and fans. Nimejikuta machozi yakinitoka automatic, last time kutokwa na machozi bila kujijua ilikuwa mwaka 1999 wakati Mwl Nyerere alipofariki. Anyway tuomboleze na kulia na kujifunza toka kwa Steven. Pia nimpe pole Elizabeth Michael (LULU) ninajua anajisikia dunia ikimuangukia ila liwe funzo kwa sisi tuliobaki kuwa Domestic disputes sometimes may lead into a tragedy, tujifunze kuzuia hasira zetu.
 
Nimeanza kufuatilia tangu asubuhi habari za msiba wa msanii huyu kipenzi cha wengi, nimegundua kwamba ni msanii aliyekuwa anajulikana na kupendwa sana na watu kuliko wote, je ni kweli Kanumba alikuwa ndiye msanii anayejulikana na kupendwa zaidi au ni sifa za marehemu tu? Na kama jibu ni hapana unahisi ni msanii gani ambaye ni maarufu kumzidi kanumba?
 

Upo Sahihi kabisa,tena aliambiwa aombe msamaha lakini akakataa.
 
Nawaonea huruma wazazi wa huyu binti lulu, mungu atuepushe kupata watoto kama hawa. Heri mtoto wako asiwe na kipaji chochote kuliko kupata mtihani kama huu.... :disapointed::disapointed::disapointed:
 
R.I.P Kanumba,may lord forgive ur sins n rest u into eternal life
 
jamani kipindi hiki ni kigumu.pls tujalibu kuelezea hali nzima ya msiba kama ilivyo.family affairs does not needed right here.
 
naona LuLu ndio amekamata mazungumzo ya nchi hii kwa sasa..watu washaanza kusahau lema kuvuliwa ubunge!
 
Gone too soon, R.I.P Kanumba,
je sisi tuliobaki twajifunza nini kwa maisha na kifo chake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…